Wanaume mpewe nini mtulie?

Wanaume mpewe nini mtulie?

Wanawake wanachangamoto nyingi sana especially kwenye s3x ,Mwanamme yupo ready 24hrs ila mwanamke wanamambo mengi mara redcarpet ,mara kachoka alikuwa anakazi nyumbani ,mara kichwa kinauma,nampikia mtoto,mara napika,mara mara mara mara kibao ,ndiyo maana m/me anaamua kwenda kupunguza nje,
Oooh kumbe.
Hoja unayo kiongozi.
 
Watatulia kaburini 😂
Tofauti na hapo usijivunje kiuno madam. Hawatuliagi, na hawajui kutulia.

Usimpotoshe mwenzako.
Viuno vya uzazi ama mauno ya hasara ndiyo vinatuliza mwanaume ndani.
 
Nimekuwa msomaji wa kimya Ila Leo Nina kitu kooni kimenikaba imebidi niingie nikiweke.

Kwanza kabisa Shikamoo kwa wale wakubwa na habari zenu kwa wale wadogo.

Kumekuwa na tabia ya wakaka na wababa wengi kutotulia kwenye mahusiano. Na wao wamekuwa wakikiri kwamba mwanaume mmoja ana wanawake zaidi ya 1. Hii imekuwa kero Sana kwa wanawake kwa kuwa hawapendezwi na wenza wao kutotulia na mpenzi au mwenza mmoja.

Nawauliza Leo mfanyiwe nini mtulie na mwenza mmoja?

Maana Wanawake wengi wamechoka kupata pid na uti sugu maana kila wakitibiwa mnaleta nyingine huko nje.

Sisemi wote hamjatulia Ila mnaoruka ruka ndio wengi zaidi. Wanawake wamekuwa wakilalamika Sana kwenye vikao vyetu.

Ni mada nimeona niilete.

Asante ni.
Mwenzio huyu hapa.


Embu tuambie na nyie mfanyiwe nini?
 
U
Umeonae!
Yaani nje unapata kwa wepesi ila ndani hata kwa magoti hupewi!
Mambo ya kuanza kutongoza upya kila ukitaka mbunye nani anataka😂!

Kubembeleza ni mara tatu tu, kuanzia ya 4 unaruka ukuta grasses are always greener on the other side!
 
Marahaba cacutee hujambo?
Kiukweli kabisa wanaume huwa hatupendi kero, kusumbuliwa na pale tunapohitajia huwa tunataka tupewe kwa wakati. Kujivuta vuta, kero na usumbufu kwa baadhi ya wenzenu ndio husababisha wanaume tuwe na viteule.
 
Tatizo mnataka wanaume wale wazuri wazuri wenye mpunga midungu jeshi.
Mimi natafutaga watu wana sura personal Athuman muuza majeneza hana mbuni
Nna mwaka wa 4 sijaumwa UTI wala nn
Bora wenye sura personal tumekumbukwa leo 😂! All in All mchepuko anasaidia kubalance ndoa hasa nyakati ngumu ngumu kama za kulea ujauzito!
 
Mnajidanganya kuwa unaweza mtuloza mmeo kwa kumpa kila kitu na kila saa ili umridhishe bila kujua maombi yatakayomfanya awe na hofu ya Mungu ndio solution ya hayo. Bila mme kuwa na hofu ya Mungu, mtavunjika viuno kutaka kumridhisa na kamwe hamtafanikiwa.

Mwanamke mwenye hofu ya Mungu na kumuomba Mungu kwa ajili ya nyumba yake ndiye atakayefanikiwa ila sio kudanganywa.
 
Nikikwambia unipe ninachotaka utanipa? Usije kunipeleka mahakamani kama Rkelly
 
We cacutee...ina maana we hujui kama wanawake mko wengi zaid ya wanaume?
sasa mkipewa nyie wachache hao wanawake wengine watapewa na nan?


Na ndio maana unaona wanaume hatutulii na mmoja lengo letu tuwafikia had wale ambao huduma haijawafikia
Alafu ukute hujui kuwa duniani wanaume tupo wengi kuliko wanawake
 
Back
Top Bottom