Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
Mwanamke mmoja hamtoshi mwanaume.Ova...!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lugha za wenyeweeUmeamua kunidanganga
Huyo ni yule mwanaharakati huru??aka misiba mingi
kwani zuchu si alishawaambia.Nawauliza Leo mfanyiwe nini mtulie na mwenza mmoja
Asante Kwa kuletaNimekuwa msomaji wa kimya Ila Leo Nina kitu kooni kimenikaba imebidi niingie nikiweke.
Kwanza kabisa Shikamoo kwa wale wakubwa na habari zenu kwa wale wadogo.
Kumekuwa na tabia ya wakaka na wababa wengi kutotulia kwenye mahusiano. Na wao wamekuwa wakikiri kwamba mwanaume mmoja ana wanawake zaidi ya 1. Hii imekuwa kero Sana kwa wanawake kwa kuwa hawapendezwi na wenza wao kutotulia na mpenzi au mwenza mmoja.
Nawauliza Leo mfanyiwe nini mtulie na mwenza mmoja?
Maana Wanawake wengi wamechoka kupata pid na uti sugu maana kila wakitibiwa mnaleta nyingine huko nje.
Sisemi wote hamjatulia Ila mnaoruka ruka ndio wengi zaidi. Wanawake wamekuwa wakilalamika Sana kwenye vikao vyetu.
Ni mada nimeona niilete.
Asante ni.
Kuchepuka ni mbadala wa Sheria za kirumi za mke mmoja zilizoingia kanisani Kwa mgongo wa imani kumbe ni depopulation tactics!!Kutochepuka
Shida ipo wakina dada mnataka mtumiliki,hilo jambo ni gumu mno.Nimekuwa msomaji wa kimya Ila Leo Nina kitu kooni kimenikaba imebidi niingie nikiweke.
Kwanza kabisa Shikamoo kwa wale wakubwa na habari zenu kwa wale wadogo.
Kumekuwa na tabia ya wakaka na wababa wengi kutotulia kwenye mahusiano. Na wao wamekuwa wakikiri kwamba mwanaume mmoja ana wanawake zaidi ya 1. Hii imekuwa kero Sana kwa wanawake kwa kuwa hawapendezwi na wenza wao kutotulia na mpenzi au mwenza mmoja.
Nawauliza Leo mfanyiwe nini mtulie na mwenza mmoja?
Maana Wanawake wengi wamechoka kupata pid na uti sugu maana kila wakitibiwa mnaleta nyingine huko nje.
Sisemi wote hamjatulia Ila mnaoruka ruka ndio wengi zaidi. Wanawake wamekuwa wakilalamika Sana kwenye vikao vyetu.
Ni mada nimeona niilete.
Asante ni.
Hakuna anayemiliki mtu boss.Shida ipo wakina dada mnataka mtumiliki,hilo jambo ni gumu mno.
Zamani wazee walikuwa wana wake zaidi ya mmoja na mambo yalikuwa fresh tu sasa hivi mwanamke aanataka mwanamume wa peke yake mnatupa unneccessary stress sisi wanaume na nyie pia.
Tulia nyumbani akirudi jua ndio wako akiwa mbali fanya mambo yako
Kulingana na takwimu za dunia nzima,wanaume ndio wengi kuliko wanawake.Wanawake ni wengi kuliko wanaume, je hao wanaozidi wanatatuaje hitaji la kimaumbile, tazama hata katika hali ya kawaida kujichua kunavyopigwa vita
Huu unaofanya ni ushamba wa kijinga
Huyo ni mpuuzi mwenye utoto ndani yakeNini shida boss. Nimeweka wazi nimekuwa msomaji Leo nimejiunga nilete hoja yangu. Kuna tatizo?
Wanaotulia wapo wengi tu sema ndio mnakuwa hamuwapendi kimapenzi, wewe unataka mwanaume awe handsome, mweusi mara mrefu mwanaume wa dizaini hii unadhani atakuwa na mwanamke mmoja wakati soko lake nikubwa?Ni vile tu bado hujamfumania 😂
Wanawake hawajatulia pia Tena wako wengi, hili nitatizo ambalo liko kwenye jamii ni ukosefu wa maadili jamii inayaona haya yote lkn Iko kimyaaNimekuwa msomaji wa kimya Ila Leo Nina kitu kooni kimenikaba imebidi niingie nikiweke.
Kwanza kabisa Shikamoo kwa wale wakubwa na habari zenu kwa wale wadogo.
Kumekuwa na tabia ya wakaka na wababa wengi kutotulia kwenye mahusiano. Na wao wamekuwa wakikiri kwamba mwanaume mmoja ana wanawake zaidi ya 1. Hii imekuwa kero Sana kwa wanawake kwa kuwa hawapendezwi na wenza wao kutotulia na mpenzi au mwenza mmoja.
Nawauliza Leo mfanyiwe nini mtulie na mwenza mmoja?
Maana Wanawake wengi wamechoka kupata pid na uti sugu maana kila wakitibiwa mnaleta nyingine huko nje.
Sisemi wote hamjatulia Ila mnaoruka ruka ndio wengi zaidi. Wanawake wamekuwa wakilalamika Sana kwenye vikao vyetu.
Ni mada nimeona niilete.
Asante ni.
SawaKulingana na takwimu za dunia nzima,wanaume ndio wengi kuliko wanawake.
Dada umemaliza kila kitu ingawa kuna hoja zingine zakuongezea hapo nitaleta Uzi kabisa kujibu hoja za mtoa madaTatizo mnataka wanaume wale wazuri wazuri wenye mpunga midungu jeshi.
Mimi natafutaga watu wana sura personal Athuman muuza majeneza hana mbuni
Nna mwaka wa 4 sijaumwa UTI wala nn