Wanaume mpewe nini mtulie?

Wanaume mpewe nini mtulie?

Nimekuwa msomaji wa kimya Ila Leo Nina kitu kooni kimenikaba imebidi niingie nikiweke.

Kwanza kabisa Shikamoo kwa wale wakubwa na habari zenu kwa wale wadogo.

Kumekuwa na tabia ya wakaka na wababa wengi kutotulia kwenye mahusiano. Na wao wamekuwa wakikiri kwamba mwanaume mmoja ana wanawake zaidi ya 1. Hii imekuwa kero Sana kwa wanawake kwa kuwa hawapendezwi na wenza wao kutotulia na mpenzi au mwenza mmoja.

Nawauliza Leo mfanyiwe nini mtulie na mwenza mmoja?

Maana Wanawake wengi wamechoka kupata pid na uti sugu maana kila wakitibiwa mnaleta nyingine huko nje.

Sisemi wote hamjatulia Ila mnaoruka ruka ndio wengi zaidi. Wanawake wamekuwa wakilalamika Sana kwenye vikao vyetu.

Ni mada nimeona niilete.

Asante ni.
Asante Kwa kuleta

Siku ukianza kumuuliza "ni nani mwingine unampenda au anakuvutia unatamani kuwa nae!!?Ili nikufanyie mpango awe mke mdogo kwako!!?

Siku mkijitambua mkafanya hivyo aiseh mtatutawala sana Sana!!wanaume tunawapenda ke wanaojali hisia na matamanio yetu!!!

Lakini kuendekeza kwenu wivu ndio sumu inayotuua wote!!
 
Nimekuwa msomaji wa kimya Ila Leo Nina kitu kooni kimenikaba imebidi niingie nikiweke.

Kwanza kabisa Shikamoo kwa wale wakubwa na habari zenu kwa wale wadogo.

Kumekuwa na tabia ya wakaka na wababa wengi kutotulia kwenye mahusiano. Na wao wamekuwa wakikiri kwamba mwanaume mmoja ana wanawake zaidi ya 1. Hii imekuwa kero Sana kwa wanawake kwa kuwa hawapendezwi na wenza wao kutotulia na mpenzi au mwenza mmoja.

Nawauliza Leo mfanyiwe nini mtulie na mwenza mmoja?

Maana Wanawake wengi wamechoka kupata pid na uti sugu maana kila wakitibiwa mnaleta nyingine huko nje.

Sisemi wote hamjatulia Ila mnaoruka ruka ndio wengi zaidi. Wanawake wamekuwa wakilalamika Sana kwenye vikao vyetu.

Ni mada nimeona niilete.

Asante ni.
Shida ipo wakina dada mnataka mtumiliki,hilo jambo ni gumu mno.
Zamani wazee walikuwa wana wake zaidi ya mmoja na mambo yalikuwa fresh tu sasa hivi mwanamke aanataka mwanamume wa peke yake mnatupa unneccessary stress sisi wanaume na nyie pia.
Tulia nyumbani akirudi jua ndio wako akiwa mbali fanya mambo yako
 
Shida ipo wakina dada mnataka mtumiliki,hilo jambo ni gumu mno.
Zamani wazee walikuwa wana wake zaidi ya mmoja na mambo yalikuwa fresh tu sasa hivi mwanamke aanataka mwanamume wa peke yake mnatupa unneccessary stress sisi wanaume na nyie pia.
Tulia nyumbani akirudi jua ndio wako akiwa mbali fanya mambo yako
Hakuna anayemiliki mtu boss.
Ni maelewano tu
 
Wanawake ni wengi kuliko wanaume, je hao wanaozidi wanatatuaje hitaji la kimaumbile, tazama hata katika hali ya kawaida kujichua kunavyopigwa vita
Kulingana na takwimu za dunia nzima,wanaume ndio wengi kuliko wanawake.
 
Ni vile tu bado hujamfumania 😂
Wanaotulia wapo wengi tu sema ndio mnakuwa hamuwapendi kimapenzi, wewe unataka mwanaume awe handsome, mweusi mara mrefu mwanaume wa dizaini hii unadhani atakuwa na mwanamke mmoja wakati soko lake nikubwa?
 
Nimekuwa msomaji wa kimya Ila Leo Nina kitu kooni kimenikaba imebidi niingie nikiweke.

Kwanza kabisa Shikamoo kwa wale wakubwa na habari zenu kwa wale wadogo.

Kumekuwa na tabia ya wakaka na wababa wengi kutotulia kwenye mahusiano. Na wao wamekuwa wakikiri kwamba mwanaume mmoja ana wanawake zaidi ya 1. Hii imekuwa kero Sana kwa wanawake kwa kuwa hawapendezwi na wenza wao kutotulia na mpenzi au mwenza mmoja.

Nawauliza Leo mfanyiwe nini mtulie na mwenza mmoja?

Maana Wanawake wengi wamechoka kupata pid na uti sugu maana kila wakitibiwa mnaleta nyingine huko nje.

Sisemi wote hamjatulia Ila mnaoruka ruka ndio wengi zaidi. Wanawake wamekuwa wakilalamika Sana kwenye vikao vyetu.

Ni mada nimeona niilete.

Asante ni.
Wanawake hawajatulia pia Tena wako wengi, hili nitatizo ambalo liko kwenye jamii ni ukosefu wa maadili jamii inayaona haya yote lkn Iko kimyaa
 
Tatizo mnataka wanaume wale wazuri wazuri wenye mpunga midungu jeshi.
Mimi natafutaga watu wana sura personal Athuman muuza majeneza hana mbuni
Nna mwaka wa 4 sijaumwa UTI wala nn
Dada umemaliza kila kitu ingawa kuna hoja zingine zakuongezea hapo nitaleta Uzi kabisa kujibu hoja za mtoa mada
 
Back
Top Bottom