Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi pia ninayo sura personal mammy ...nibarikiTatizo mnataka wanaume wale wazuri wazuri wenye mpunga midungu jeshi.
Mimi natafutaga watu wana sura personal Athuman muuza majeneza hana mbuni
Nna mwaka wa 4 sijaumwa UTI wala nn
Papuchi tu mammy iliyo na afya sio chikondaNdo nn?
Kwenye pid na uti hapo nakataa sana...japo ni njia za uambukizaji....lakini angalieni hizo pad na vyoo mnavyotumia...maana mie ni mmoja wa watu ambao sitoki nje na mke wangu pia...lakini maambukizi ndani hayakuisha mpaka tulipobadili style ya maisha.Nimekuwa msomaji wa kimya Ila Leo Nina kitu kooni kimenikaba imebidi niingie nikiweke.
Kwanza kabisa Shikamoo kwa wale wakubwa na habari zenu kwa wale wadogo.
Kumekuwa na tabia ya wakaka na wababa wengi kutotulia kwenye mahusiano. Na wao wamekuwa wakikiri kwamba mwanaume mmoja ana wanawake zaidi ya 1. Hii imekuwa kero Sana kwa wanawake kwa kuwa hawapendezwi na wenza wao kutotulia na mpenzi au mwenza mmoja.
Nawauliza Leo mfanyiwe nini mtulie na mwenza mmoja?
Maana Wanawake wengi wamechoka kupata pid na uti sugu maana kila wakitibiwa mnaleta nyingine huko nje.
Sisemi wote hamjatulia Ila mnaoruka ruka ndio wengi zaidi. Wanawake wamekuwa wakilalamika Sana kwenye vikao vyetu.
Ni mada nimeona niilete.
Asante ni.
Ndivyo mnavyopenda alafu tukiwa nazo mnamindi kama mleta mada.Mwanaume anatakiwa kuwa na hekaheka
Sasa mwanaume wa mwanamke mmoja umemuona wapiNdivyo mnavyopenda alafu tukiwa nazo mnamindi kama mleta mada.
basi mkitufumania msitukimbieSasa mwanaume wa mwanamke mmoja umemuona wapi
DuhKwenye pid na uti hapo nakataa sana...japo ni njia za uambukizaji....lakini angalieni hizo pad na vyoo mnavyotumia...maana mie ni mmoja wa watu ambao sitoki nje na mke wangu pia...lakini maambukizi ndani hayakuisha mpaka tulipobadili style ya maisha.
Sio dhana ni kweliNa hii dhana ya wanaume wote Wana wanawake wengi mnaitoaga wapi
Do you know anything about the masculinity? Kuna kitabu kimoja kinaitwa message hear men, constructing masculinity kaandika Harris 1998 kaelezea vizur hii ishuSio dhana ni kweli
Hongeraaaa sanaaaNiliacha pombe. Sidhani Kama kuachwa pombe, kuchepuka, kuhonga Ni vitu vibaya.
Ifike mahali hata wewe ujiulize kwanini unachepuka? Je kifo kikikukuta uko gesti na mchepuko, utaacha legacy gani? Na huko roho yako iendako itakuwaje.
Nilicho jifunza. Ukijiheshimu k ya waif inatosha Sana.
Sijui chingereza mkuu,😪Do you know anything about the masculinity? Kuna kitabu kimoja kinaitwa message hear men, constructing masculinity kaandika Harris 1998 kaelezea vizur hii ishu
Safi sanaNiliacha pombe. Sidhani Kama kuachwa pombe, kuchepuka, kuhonga Ni vitu vibaya.
Ifike mahali hata wewe ujiulize kwanini unachepuka? Je kifo kikikukuta uko gesti na mchepuko, utaacha legacy gani? Na huko roho yako iendako itakuwaje.
Nilicho jifunza. Ukijiheshimu k ya waif inatosha Sana.
Wewe ndio wakupewa viti maalumu una akili zimepitiliza ,busara yako iko ghorofa ya juu kabisa.Watatulia kaburini 😂
Tofauti na hapo usijivunje kiuno madam. Hawatuliagi, na hawajui kutulia.
Umeamua kunidanganga sasaSijui chingereza mkuu,😪