Wanaume mpewe nini mtulie?

Ww wajina nikuulize swali?? Ww unaweza kuangalia TBC kila siku??
Wanaume hawawezi kukuelewa hilo suala lako hata kidogo, labda awe na upungufu wa nguvu za kiume.

Hao hata wakiwa kitandani wanaumwa wanakwambia ipandie juu mama yoyoo utakuwa unanipa kidogo kidogo.!!! Wako radhi wapitishe muda wa kunywa dawa ila sio kitobo. Tafuta kazi ufanye watapumzika kaburini. Nako sina uhakika 🤣🤣🤣🤣
 
Mwaka wa Saba huu unaisha sijawahi kuchepuka.
Mwaka wa Saba unaisha sijawahi kuvaa kondo** Wala kuingia gesti kwa ajili ya uzinzi Wala kuhonga Wala kumnunulia Malaya bia Wala kunawa Wala kuliwa koni. Aisee Mambo Ni mengi.
 
Mwaka wa Saba huu unaisha sijawahi kuchepuka.
Mwaka wa Saba unaisha sijawahi kuvaa kondo** Wala kuingia gesti kwa ajili ya uzinzi Wala kuhonga Wala kumnunulia Malaya bia Wala kunawa Wala kuliwa koni. Aisee Mambo Ni mengi.
Na guess kuna kitu kibaya sana unachokifanya tofauti na hapo..
(Lakini na guess tu)
 
Na guess kuna kitu kibaya sana unachokifanya tofauti na hapo..
(Lakini na guess tu)
Niliacha pombe. Sidhani Kama kuachwa pombe, kuchepuka, kuhonga Ni vitu vibaya.
Ifike mahali hata wewe ujiulize kwanini unachepuka? Je kifo kikikukuta uko gesti na mchepuko, utaacha legacy gani? Na huko roho yako iendako itakuwaje.
Nilicho jifunza. Ukijiheshimu k ya waif inatosha Sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…