Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitaweka kichwa tuMh babu hujatulia ww jmn
Naogopa mm
Kuna nini mkuu
Unasikia maneno hayo kwa kijana mwenzangu hapo juu. Nn maon yakoKuna nini mkuu
Sana hapa kwenye uzi zipo mbili sijui ni mtu mmoja!😀😀, Hii ID inatia mashaka kabisa...
Sana hapa kwenye uzi zipo mbili sijui ni mtu mmoja!
Jiamini ndugu mbona unaishi kwa wasiwasi Sana? Ukijiamini utakuwa na uwezo wa kuwaamini wengine.Sana hapa kwenye uzi zipo mbili sijui ni mtu mmoja!
Tabia ya mtu ni kama nguo mkuu..Unasikia maneno hayo kwa kijana mwenzangu hapo juu. Nn maon yako
Haya boss km ndo akili yako imeishia hapo.View attachment 2959057
Kwa utafiti wangu wa leo tuu, Nimeona Hii writing ID niya KIUMWE 🙂🙂.
SCREEN SHOT 👆👆👆
dada tatizo ni midomo...Nimekuwa msomaji wa kimya Ila Leo Nina kitu kooni kimenikaba imebidi niingie nikiweke.
Kwanza kabisa Shikamoo kwa wale wakubwa na habari zenu kwa wale wadogo.
Kumekuwa na tabia ya wakaka na wababa wengi kutotulia kwenye mahusiano. Na wao wamekuwa wakikiri kwamba mwanaume mmoja ana wanawake zaidi ya 1. Hii imekuwa kero Sana kwa wanawake kwa kuwa hawapendezwi na wenza wao kutotulia na mpenzi au mwenza mmoja.
Nawauliza Leo mfanyiwe nini mtulie na mwenza mmoja?
Maana Wanawake wengi wamechoka kupata pid na uti sugu maana kila wakitibiwa mnaleta nyingine huko nje.
Sisemi wote hamjatulia Ila mnaoruka ruka ndio wengi zaidi. Wanawake wamekuwa wakilalamika Sana kwenye vikao vyetu.
Ni mada nimeona niilete.
Asante ni.
Haya boss km ndo akili yako imeishia hapo.
Average minds discus people....
Kama ni hivi Sawa mkuu.. 🤝🤝. Maana nilitaka nishtuke kidogo 🤒🤒.Focus na hoja inayojadiliwa.
Waohh!👏Tatizo mnataka wanaume wale wazuri wazuri wenye mpunga midungu jeshi.
Mimi natafutaga watu wana sura personal Athuman muuza majeneza hana mbuni
Nna mwaka wa 4 sijaumwa UTI wala nn
Utani tu bwana usichukie, tunaichangamsha mada.Jiamini ndugu mbona unaishi kwa wasiwasi Sana? Ukijiamini utakuwa na uwezo wa kuwaamini wengine.
Kwamba niweke Uzi alafu niwe ninajijibu mwenyewe... Kwani n ulichoandika hapo juu ni cha siri Hadi nijifiche?