Wanaume msinichukie kwa huu ukweli ninaotoa hapa

Wanaume msinichukie kwa huu ukweli ninaotoa hapa

Uwe na huo ugonjwa alafu kazi uwe unaiweza sio kuchafuachafua mabinti wa watu. Kagoli kamoja miguu juu kama mende, chaliiiiii.
 
Mi huo mchezo niliuacha siku mke wangu aliponifumania halafu akanambia" Baba Kd utazunguka bucha zote lkn nyama ni ile ile....."
 
vyote ulivyoandika kwa kifupi tunaita USHABABI mwanaume kaumbiwa wanawake ila mwanamke hajaumbiwa wanaume so kwangu ni sahihi wanaume kuwa hivyo,yaani siku hz ukitembea na mabinti 20 tu shida wakati nabii suleimani alikuwa na wanawake dahari
Kwaiyo wewe kati ya mambo yoote aliyoyafanya Nabii Suleiman umeliona hilo tu la wanawake wengi? Badilika unajiingiza gharama za bure vibandiko ndo ivyo ivyo kinachokuzuzua ni ulimbukeni wa kutaka kuonekana mchovyaji
 
Kwaiyo wewe kati ya mambo yoote aliyoyafanya Nabii Suleiman umeliona hilo tu la wanawake wengi? Badilika unajiingiza gharama za bure vibandiko ndo ivyo ivyo kinachokuzuzua ni ulimbukeni wa kutaka kuonekana mchovyaji


haaaa haaa haaa ushauri mzuri ila sana na kwa dhati nimeamua kuacha kabisa.......ndio kuacha kabisa kuingia jf ili nisipate ushauri kama wako...wanawake watamu jamani hasa umkute ambae umembabatiza tu hakuwa na lengo la kusex. Kapapuchi kanakuwa kama mdomo wa chupa ya soda
 
Uwe na huo ugonjwa alafu kazi uwe unaiweza sio kuchafuachafua mabinti wa watu. Kagoli kamoja miguu juu kama mende, chaliiiiii.
Hata Jogoo anamaliza kazi kwa sekunde tano tu alafu jike anaridhika
 
hivyo ndivyo tulivo ,,,,,,tamaa imetuzidi na ndio nature yetu
 
Mi huo mchezo niliuacha siku mke wangu aliponifumania halafu akanambia" Baba Kd utazunguka bucha zote lkn nyama ni ile ile....."
Duh, kwahiyo wife kakuchimbia mkwara mpaka umenyooka
 
Wanaume wanaumwa ugonjwa maarufu unaitwa
'I want that taste Disease', hawatosheki..eh sorry
hatutosheki... Utakuta mtu ana mke mzuri, unywele
hadi mgongoni, shape kama kachorwa na
bikari, kamuoa yuko home lakini akiwa nje ukipepe kama kawa, na anacheat na mwanamke ambaye
wengine hata huelewi kafuata nini maana wako
below Standard hata za mkewe,
Mwanamke ana
Chunusi nyingi kuliko Vinyweleo, wakati mkewe
chuma cha pua yaani TBS ya mapenzi hakuna
kabisa...
Wa ukweli yuko home lakini bado anataka kujua Taste ya hii mpya aliyoiona ikoje na akishatest
basi, roho inatulia macho yanasaka taste
mpya.
Tukifanikiwa kupona '' I want that taste Disease''
hakuna viumbe tunajua kupenda kama sisi wanaume
na tutawapenda nyie wadada hadi
mshangae na kuota vipele vya baridi, lakini shida ndo hiyo, asilimia 95 au zaidi tunaumwa,
mke kibonge
tunacheat na Miss Ukonga, hata haijulikani
Hobby yetu ni Mifupa au Nyama. Eh Mwenyezi Mungu
saidia macho yetu yaache kuona sana na turidhike na
Taste moja na sio kila Taste maana Safari
sisi, Tusker Sisi na Balimi sisi,absolutely no Choice...Wanaume msinichukie,kukubali udhaifu ni
nusu ya Kupona udhaifu huo.
Adam aliumbiwa ‘’HAWA‘’ na si ‘’HUYU‘’.....🙂🙂
 
vyote ulivyoandika kwa kifupi tunaita USHABABI mwanaume kaumbiwa wanawake ila mwanamke hajaumbiwa wanaume so kwangu ni sahihi wanaume kuwa hivyo,yaani siku hz ukitembea na mabinti 20 tu shida wakati nabii suleimani alikuwa na wanawake dahari
Mwanaume ni Mwanaume na demu atabaki demu tuu..
 
Ndiyo! Yametumwa na ibilisi (shetani) kutoka kuzimu. Kila dhambi afanyayo mwanadamu nyuma yake yapo mapepo yanayo-influence kutendwa dhambi hiyo.
katika vitu ambavyo sitakaa niamini eti kugegeda ni dhambi,hawajanipata kwa kweli maana tangu vitabu vinaanza ibahimu mwenyewe alifanya tunayoyafanya ila sijawahi kuona walipoandika kuwa kafanya dhambi,ila sisi vihelehele vimetujaa kusema eti kugegeda ni dhambi,binadamu tuache unafiki,mkuu mwenyewe kasema tugegedane kwa sana!
 
Pamoja na hayo wanawake pia husababisha wanapowanyima waume zao unyumba kwa visingizio fulani fulani visivyo na mashiko, utakuta mke wa mtu siku ya kwanza oh! nimechoka, kesho; kesho ikifika oh, ninaumwa kichwa, siku ya tatu sijisikii, hapo unategemea nini????
Alafu wanachosha kweli yani
 
Back
Top Bottom