Wanaume msinichukie kwa huu ukweli ninaotoa hapa

Wanaume msinichukie kwa huu ukweli ninaotoa hapa

Wanaume wanaumwa ugonjwa maarufu unaitwa
'I want that taste Disease', hawatosheki..eh sorry
hatutosheki... Utakuta mtu ana mke mzuri, unywele
hadi mgongoni, shape kama kachorwa na
bikari, kamuoa yuko home lakini akiwa nje ukipepe kama kawa, na anacheat na mwanamke ambaye
wengine hata huelewi kafuata nini maana wako
below Standard hata za mkewe,
Mwanamke ana
Chunusi nyingi kuliko Vinyweleo, wakati mkewe
chuma cha pua yaani TBS ya mapenzi hakuna
kabisa...
Wa ukweli yuko home lakini bado anataka kujua Taste ya hii mpya aliyoiona ikoje na akishatest
basi, roho inatulia macho yanasaka taste
mpya.
Tukifanikiwa kupona '' I want that taste Disease''
hakuna viumbe tunajua kupenda kama sisi wanaume
na tutawapenda nyie wadada hadi
mshangae na kuota vipele vya baridi, lakini shida ndo hiyo, asilimia 95 au zaidi tunaumwa,
mke kibonge
tunacheat na Miss Ukonga, hata haijulikani
Hobby yetu ni Mifupa au Nyama. Eh Mwenyezi Mungu
saidia macho yetu yaache kuona sana na turidhike na
Taste moja na sio kila Taste maana Safari
sisi, Tusker Sisi na Balimi sisi,absolutely no Choice...Wanaume msinichukie,kukubali udhaifu ni
nusu ya Kupona udhaifu huo.
Mkuu alieturoga kafa amna jinsi
 
Trust me katika hili sijawahi kuwaelewa wanaume wanataka nini hasa
 
Mtoa Mada ugomvi wake ni Wanaume tu sijui Dadake kapewa Talaka? thread zake nyingi ni kuponda Mameni tu i don't know why!
 
kuna uchochezi hapa kwa hii thread...!!!
 
Kweli mtu apiga leo kesho hata kumuona hataki wakti kamuinda kicli wki nzma
 
Back
Top Bottom