Wanaume msinichukie kwa huu ukweli ninaotoa hapa

Bila ya shaka Muumbaji alifanya hivyo makusudi.

"Zaeni muongezeke, mkaijaze nchi"!
 
Kumbuka Mungu alimuumba Adam na Hawa HAPA. Soni kujichagulia tu.... (just funny)
 
Chanzo kikubwa ni wanawake kukubali wanaume walio na wake zao. Kwanini mwanamke asikatae??
 

Ww jamaa muongo sana.hizi asilimia 95 ya wanao umwa umezithibitisha wapi?.na wanaumwa nn .acha watu wale maisha ,ni mafupi sana.ukiuliza watu wanaogopa ugonjwa gani,watakwambia kansa na Ini .ukimwi ni wameizoea
 
Raha ya chakula apike mkeo lakini siku akigoma sio tabu kwenda kula kwa mamantilie[emoji54] [emoji6]
 
Mwanaume hajaumbiwa agonge demu mmoja ukiona unaridhika nammoja ujue unamatatizo kwanzia wadudu, wanyama, samaki wote dume lazima ashughulikie majike mengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…