Wanaume: Munatumia njia gani kuwasiliana pengine hata kukutana na mzazi mwenzio aliyeolewa?

Wanaume: Munatumia njia gani kuwasiliana pengine hata kukutana na mzazi mwenzio aliyeolewa?

Mimi nimezaa na mdada mmoja ambae kwa sasa kaolewa na anaishi na mwanangu na huyo mumewe,hivyo mawasiliano yangu yote kuhusu malezi ya mtoto huyo hupitia kwa mumewe,na kama kuna siku nataka kumuona mtoto namuatifi mumewe ambae ndio atamjulisha huyo mzazi mwenzangu ambae ni mkewe.Sina mawasiliano na huyo mzazi mwenzangu ya moja kwa moja
Zarau hiz,,
 
Mimi nimezaa na mdada mmoja ambae kwa sasa kaolewa na anaishi na mwanangu na huyo mumewe,hivyo mawasiliano yangu yote kuhusu malezi ya mtoto huyo hupitia kwa mumewe,na kama kuna siku nataka kumuona mtoto namuatifi mumewe ambae ndio atamjulisha huyo mzazi mwenzangu ambae ni mkewe.Sina mawasiliano na huyo mzazi mwenzangu ya moja kwa moja
Yani... Unapitia kwa mwanaume mwenzio ili uwasiliane na mwanao?
 
Mimi nimezaa na mdada mmoja ambae kwa sasa kaolewa na anaishi na mwanangu na huyo mumewe,hivyo mawasiliano yangu yote kuhusu malezi ya mtoto huyo hupitia kwa mumewe,na kama kuna siku nataka kumuona mtoto namuatifi mumewe ambae ndio atamjulisha huyo mzazi mwenzangu ambae ni mkewe.Sina mawasiliano na huyo mzazi mwenzangu ya moja kwa moja
Safi sana
 
Yani... Unapitia kwa mwanaume mwenzio ili uwasiliane na mwanao?
ubaya ni upi kwa hilo?Huyo mwanaume sio adui yangu ni baba wa kambo wa mtoto wangu,ubaya ni upi? kwani tunakuwa na watoto wa nje ya ndoa na wanaishi na mama wa kambo,kwa akiki yako unadhani hao mama zao 2 hawawasiliani?
 
Wasiliana na mzazi mwenzio
ubaya ni upi kwa hilo?Huyo mwanaume sio adui yangu ni baba wa kambo wa mtoto wangu,ubaya ni upi? kwani tunakuwa na watoto wa nje ya ndoa na wanaishi na mama wa kambo,kwa akiki yako unadhani hao mama zao 2 hawawasiliani?
 
wengine tushapita hizo zama, mtoto yupo 21+ huko ana uamuzi wake tayari, ananikera tu kuomba omba pesa akati kwa baba ake simfikii hata nusu, sjui anahonga mabinti?[emoji19]
Sasa wee hutaki wakwe? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni kwamba mimi na huyo dada tulipata mtoto bila kupanga na wala sikumpa ahadi yoyote kuwa ntamuoa,tuliongea sana nae na tulikubaliana tusitoe mimba ila nimsaidie kutunza,yeye alikuwa na kazi yake nzuri na mpaka leo anayo,basi baadae alipata mchumba na kabla hajaolewa alimwambia mchumba wake kuwa ana mtoto mmoja aliyezaa kabla hawajakutana.Mwanaume alikubali nami niliarifiwa kuwa anaolewa na nilitoa mchango na harusi yao nilihudhuria na sasa hizi familia 2 ni family friends.
Nikupe siri moja ambayo hukuijua. Mwanamke husika hakuwa na matamanio ya kuolewa nawe. Angekuwa nayo, huo uhusiano usingekuwepo.
 
Mimi nimezaa na mdada mmoja ambae kwa sasa kaolewa na anaishi na mwanangu na huyo mumewe,hivyo mawasiliano yangu yote kuhusu malezi ya mtoto huyo hupitia kwa mumewe,na kama kuna siku nataka kumuona mtoto namuatifi mumewe ambae ndio atamjulisha huyo mzazi mwenzangu ambae ni mkewe.Sina mawasiliano na huyo mzazi mwenzangu ya moja kwa moja
Wanaume waliooa mitumba wanapaswa kuwa na roho ngumu.
Yaani unawakutanisha wapenzi wa zamani huku mmojawapo ni mkeo😇
 
Nikupe siri moja ambayo hukuijua. Mwanamke husika hakuwa na matamanio ya kuolewa nawe. Angekuwa nayo, huo uhusiano usingekuwepo.
Ngulumbili ni tatizo yaani wewe uwe unajua kuhusu huyo mwanamke kuliko mimi ambae tulikuwa tulala uchi wa mnyama!
 
Ngulumbili ni tatizo yaani wewe uwe unajua kuhusu huyo mwanamke kuliko mimi ambae tulikuwa tulala uchi wa mnyama!
Huwezi kujua undani wa mwanamke hata kama siye tulioishi nao kwa zaidi ya miaka 40 na tuna wajukuu. Mwanamke unamjua kwa matendo.

Kwanza mwanamke akikupenda hata iweje atakuwa na wivu na wewe. Mwanamke Mpaka mkubaliane aolewe na mtu mwingine, huyo jua hakukupenda hata ungekuwa na wanawake 100.

Kulala uchi na mwanamke haijalishi maana hata changudoa tunalala nao uchi, tofautisha sex na love. Afterall umesema ulilala naye siku moja na mimba hapo. Mwanamke hadi akupende siyo kama sie wanaume, ukiona mwanamke mbali unamtamani mpaka ccm juu.
 
Habari mara nyingi Watu wengi wanajikuta wamezaa nje ya ndoa na mwenzie kuolewa Na mnamtoto tayari.

Mtoto anahitaji malezi ya baba na mama.

Sasa njia gani unatumia kuwasiliana na mzazi wenzio aliyeolewa tayari afu utakuta huko anaishi na mtoto wako au mtoto unaishi naye sometimes mtoto atataka kukutana na mama yake, pengine hata na baba.

Njia gani Mnatumia kufanikisha hili?
Karibuni.
Kwani kunashida gani ukiniletea mwanangu ni muone na kumnunulia nguo za christmass alafu tukumbushane alivyopatikana?
 
Back
Top Bottom