Wanaume: Munatumia njia gani kuwasiliana pengine hata kukutana na mzazi mwenzio aliyeolewa?

Zarau hiz,,
 
Yani... Unapitia kwa mwanaume mwenzio ili uwasiliane na mwanao?
 
Safi sana
 
Yani... Unapitia kwa mwanaume mwenzio ili uwasiliane na mwanao?
ubaya ni upi kwa hilo?Huyo mwanaume sio adui yangu ni baba wa kambo wa mtoto wangu,ubaya ni upi? kwani tunakuwa na watoto wa nje ya ndoa na wanaishi na mama wa kambo,kwa akiki yako unadhani hao mama zao 2 hawawasiliani?
 
Wasiliana na mzazi mwenzio
ubaya ni upi kwa hilo?Huyo mwanaume sio adui yangu ni baba wa kambo wa mtoto wangu,ubaya ni upi? kwani tunakuwa na watoto wa nje ya ndoa na wanaishi na mama wa kambo,kwa akiki yako unadhani hao mama zao 2 hawawasiliani?
 
wengine tushapita hizo zama, mtoto yupo 21+ huko ana uamuzi wake tayari, ananikera tu kuomba omba pesa akati kwa baba ake simfikii hata nusu, sjui anahonga mabinti?[emoji19]
Sasa wee hutaki wakwe? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nikupe siri moja ambayo hukuijua. Mwanamke husika hakuwa na matamanio ya kuolewa nawe. Angekuwa nayo, huo uhusiano usingekuwepo.
 
Wanaume waliooa mitumba wanapaswa kuwa na roho ngumu.
Yaani unawakutanisha wapenzi wa zamani huku mmojawapo ni mkeo😇
 
Nikupe siri moja ambayo hukuijua. Mwanamke husika hakuwa na matamanio ya kuolewa nawe. Angekuwa nayo, huo uhusiano usingekuwepo.
Ngulumbili ni tatizo yaani wewe uwe unajua kuhusu huyo mwanamke kuliko mimi ambae tulikuwa tulala uchi wa mnyama!
 
Ngulumbili ni tatizo yaani wewe uwe unajua kuhusu huyo mwanamke kuliko mimi ambae tulikuwa tulala uchi wa mnyama!
Huwezi kujua undani wa mwanamke hata kama siye tulioishi nao kwa zaidi ya miaka 40 na tuna wajukuu. Mwanamke unamjua kwa matendo.

Kwanza mwanamke akikupenda hata iweje atakuwa na wivu na wewe. Mwanamke Mpaka mkubaliane aolewe na mtu mwingine, huyo jua hakukupenda hata ungekuwa na wanawake 100.

Kulala uchi na mwanamke haijalishi maana hata changudoa tunalala nao uchi, tofautisha sex na love. Afterall umesema ulilala naye siku moja na mimba hapo. Mwanamke hadi akupende siyo kama sie wanaume, ukiona mwanamke mbali unamtamani mpaka ccm juu.
 
Wanaume waliooa mitumba wanapaswa kuwa na roho ngumu.
Yaani unawakutanisha wapenzi wa zamani huku mmojawapo ni mkeo😇
Ni kweli.
Ndo maana kwa mtu anaeoa lzm asiwe na wivu
 
Kwani kunashida gani ukiniletea mwanangu ni muone na kumnunulia nguo za christmass alafu tukumbushane alivyopatikana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…