Wanaume Muwe Mnaangalia na Wanawake wa Kuwaachia Mbegu Zenu.

Hata Mimi nisingeelewa kirahisi kama yule mwanamke kakosea NYUMBA ningejua tu mume wangu kazaa kweli nje.
Kuacha tu mtoto alelewe na mwanamke mwenzio sio jambo rahisi.
 
Mmhhh hatarii sana hy mambo.
Kuna madem ni fyatu aiseee kwahy hamuonei huruma hata mtt wake kiasi kwamba yukoo tayali kumuachaa.
 
Huyo ni chizi kabisa. Yani mi nikamsumbue mwanangu na mausifiri na jua kisa baba ake anazingua? Hata mwanaume azingue vipi siwezi muweka mwanangu kwenye nafasi ya kumtumia yeye kwa baba ake
kuna wengine hawana makosa Unakuta amevumilia sana na maisha ni magumu anaona hana jinsi!! Kwa upande mwingine alikua sahihi kabisa. wanawake ni watu waliopewa uvumilivu akishindwa ndo inakua hivo..!! masikini daah hadi akachanganyikiwa kabisa kashindwa kujua jamaa alisha hama!!
 
Sisi wavumilivu sana lakini huwa wagumu sana kuacha watoto wetu nyuma kwenye mazingira kama hayo ya kumsusa.
 
Hata Mimi nisingeelewa kirahisi kama yule mwanamke kakosea NYUMBA ningejua tu mume wangu kazaa kweli nje.
Kuacha tu mtoto alelewe na mwanamke mwenzio sio jambo rahisi.
Kweli nyumba zipo kibao akosee kuja kwenu hahahahaha

Mtoto wangu atakula ninachokula mie nikiwa hai
 
Sisi wavumilivu sana lakini huwa wagumu sana kuacha watoto wetu nyuma kwenye mazingira kama hayo ya kumsusa.
Yaah ni kweli kabisa!! japo kuna wanawake wengine wakorofi na wana kauli mbaya mpaka jamaa anaacha kutoa matumizi!!
Wengine wanapoomba hela za matumizi nilishawasikia wanawake kadhaa wanaomba pesa ya matumiz na kauli mbaya hata mimi nikasema ningekua ndo baba wa mtoto Sitoi hata mia!!
 
Usisaha Condom. Kuna Maza jana nilikua namzamishia Ngolo Kante ile kujua nimevaa ndom akakataa mazma, ikabid tuahirishe gemu, nikaebde kusupport CHAPUTA members..
 
Kweli nyumba zipo kibao akosee kuja kwenu hahahahaha

Mtoto wangu atakula ninachokula mie nikiwa hai
Wengine sasa wanataka kukomoa ndo wanafanya kama hivyo. Au ukute ulimdanganya. Kuna wanawake hawajui kusamehe na kukubaliana na hali kirahisi
 
Lakini usipotoa anaeteseka ni mwanao mkuu.
 
Mume wa mtu n maziwa ndo maana wanataka kupunguza sumu
Tatizo wakati wa kumwaga mbegu huwa shida kumwagia nje ule utamu lazima utazaa hata na mwendawazimu. Wanawake nao ukiona jamaa anataka kumwaga mbegu si unampushi akojolee nje we unajua mme wa mtu bado unataka akuzalishe tu
 
Kama ametia mimba mchepuko na matumizi hatoi, acha avunjiwe ndoa!

bahati yake alidanganya mahali anapoishi.
 
Kama ametia mimba mchepuko na matumizi hatoi, acha avunjiwe ndoa!

bahati yake alidanganya mahali anapoishi.
Ni ujinga huo na upumbavu mkubwa.alibakwa?wakati anabeba mimba bila ndoa hakua na akili?upumbavu wa kulenga wanaume ili kumaliza matatizo kwa kigezo cha mtoto utasababisha kua na kizazi kisicho na malezi sahihi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…