Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Tunasaidiana mawazo vipi? Wewe mimba umejichukulia mwenyewe.sikukupa. mimi nlitaka tuenjoy kitendo tu lakini wewe unatega ili nitegeke.basi hiyo mimba endelea nayo na matokeo yake pia jichukulie tu. Mi sikupanga malezi.
Mimba ikiingia si inabidi tusaidiane mawazo ya nini cha kufanya jamani hata kama ulitegeshewa?