Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Mimba ikiingia si inabidi tusaidiane mawazo ya nini cha kufanya jamani hata kama ulitegeshewa?
check your PM white...Juzi kuna shosti yangu limemkuta jambo. NYUMBA aliyokua anakaa alishawahi kuishi mwanaume Fulani na familia yake. Sasa siku ya tukio wakati yuko ndani akasikia MTU anagonga geti lake kwa nguvu sana. Kwenda kufungua anakutana na mwanamke yuko na kitoto kichanga cha kama miezi minne.
Ile anafungua tu yule mwanamke akamwambia yani ilibaki dakika moja nikuachie huyu mtoto hapa nje ya geti niondoke zangu. Ikabidi shosti aulize kwani mbona sielewi. Akamwambia huelewi nini. Niitie mumeo Nina maongezi nae. Nae akazidi kushangaa maana ile NYUMBA anaishi mwenyewe na Mara chache hata mwanae anakuwepo. Mwanaume aliezaa nae hawana mahusiano ya kusema anaweza kuwa kama mume au boyfriend wake.
Sasa akawa anamtuliza anamwambia Dada utakuta umekosea NYUMBA. Anakazana kabisa ni hapa hapa kwa Jose. Wewe si ndo mke wa Jose? Sasa mumeo kanizalisha matumizi haleti nimeamua kuwaletea mtoto mumlee. Sasa like zogo likawavuta watu ndo kumtuliza yule Dada kuongea nae yule Dada ndo kugundua alipoenda sipo kwa muhusika.
Maana yake ni kwamba alishakua tayari kwenda kuvunja ndoa ya yule baba mtoto bila kujali mwenzie ana mke. Pata picha huyo baba alimficha mkewe kuhusu kuzaa nje halafu ghafla anakuja kutupiwa kichanga cha miezi mine akilee na mkewe.
I'm not taking any of the two sides, ila uhalisia wote wanamakosa na sio mwanamke peke yake.Ni ujinga huo na upumbavu mkubwa.alibakwa?wakati anabeba mimba bila ndoa hakua na akili?upumbavu wa kulenga wanaume ili kumaliza matatizo kwa kigezo cha mtoto utasababisha kua na kizazi kisicho na malezi sahihi.
Utakua ni mmojawapo.unapoivunja huoni watoto wataishije?kukiwa na amani bila ugomvi hata huyu mtoto aliyezaliwa nje atatunzwa tu maana mimi kama mwanaume nina akili pia,mwanamke nizae nae lakini akawa na amani,hekima na busara siwezi kumtazama tu na mtoto nikaacha kutunza mtoto.kuna tabia za kishenzi tu za wanawake wengi kujibebesha mimba kwa malengo ya kutatua matatizo yao.narudia tena ni UPUMBAVUI'm not taking any of the two sides, ila uhalisia wote wanamakosa na sio mwanamke peke yake.
Mtu umeoa, ila bado unaenda kukaza nje peku peku, unategemea kupata nini kama sio mtoto?
An eye for an eye, acha avunjiwe ndoa!
Acha mbwembwe zako mkuu, Nank asojua mwanamke mpaka anakupa uchi wake maana yake ameridhia hata kihisia?? Ulikua wapi kumsaidia ?? .Wanawake wa namna hiyo ni wabaya sana.ziko hekima za kutumia na siyo kumfata mtu nyumbani kwa lengo la kumvurugia wakati anabeba ujauzito hakubakwa.raha zote alizisikia na kuamua toka moyoni mwake...wanawake hao nimewahi kukutana na wa namna hiyo aisee.. unaweza chukua maamuzi ya ajabu usipotumia hekima.hawafai hao ni washenzi sana.
Unaonekana umechanganyikiwa...msiwe na tamaa msubili mpaka muolewe.chepukeni lakini kuzaa subirini ndoa naa ukiikosa kaa bila mtoto maana si wote wa kuolewa huku duniani.lakini usumbufu wa kipumbavu acheni kuwasumbua watu.shenzi typeAcha mbwembwe zako mkuu, Nank asojua mwanamke mpaka anakupa uchi wake maana yake ameridhia hata kihisia?? Ulikua wapi kumsaidia ?? .
Aya toka amekuambia anamimba ulichukua hatua gani?? ...kazaa umechukua hatua gani???
Nyie ndo mnawapaga mimba mademu alafu akikuambia unaishia kumpiga mkwara "USINITAFUTE NITAKUUA"....
Hapa ndio wakuu wote wamikoa walipaswa wawe km makonda.
Wewe unajua kaacha mangapi .mangapi yamempita...kwa kubeba mimba yako ???? Nani kakuambia kitanda kinazaa haramu???
huo ulikuwa ni mkwara tu, ingawa i agree kuna some crazy ass baby mamas... Sometimes ni sisi wenyewe kutokana na matendo yetu we make these ladies act crazily, so the only option they are left with ni ku-act over the top to get our attention
Kutegesha mimba ni ushenzi.Utakua ni mmojawapo.unapoivunja huoni watoto wataishije?kukiwa na amani bila ugomvi hata huyu mtoto aliyezaliwa nje atatunzwa tu maana mimi kama mwanaume nina akili pia,mwanamke nizae nae lakini akawa na amani,hekima na busara siwezi kumtazama tu na mtoto nikaacha kutunza mtoto.kuna tabia za kishenzi tu za wanawake wengi kujibebesha mimba kwa malengo ya kutatua matatizo yao.narudia tena ni UPUMBAVU
Kama ametia mimba mchepuko na matumizi hatoi, acha avunjiwe ndoa!
bahati yake alidanganya mahali anapoishi.
Mmoja alizaa na mdogo angu alikuja kuwaacha mapacha wa miezi 9 usiku mlangoni kwa bimkubwa akakimbia mpaka leo hajawahi hata kuja kuwaangalia wanakaribia miaka mitano sa hivi, wanawake wengine hawana uchungu na watoto kabisaJuzi kuna shosti yangu limemkuta jambo. NYUMBA aliyokua anakaa alishawahi kuishi mwanaume Fulani na familia yake. Sasa siku ya tukio wakati yuko ndani akasikia MTU anagonga geti lake kwa nguvu sana. Kwenda kufungua anakutana na mwanamke yuko na kitoto kichanga cha kama miezi minne.
Ile anafungua tu yule mwanamke akamwambia yani ilibaki dakika moja nikuachie huyu mtoto hapa nje ya geti niondoke zangu. Ikabidi shosti aulize kwani mbona sielewi. Akamwambia huelewi nini. Niitie mumeo Nina maongezi nae. Nae akazidi kushangaa maana ile NYUMBA anaishi mwenyewe na Mara chache hata mwanae anakuwepo. Mwanaume aliezaa nae hawana mahusiano ya kusema anaweza kuwa kama mume au boyfriend wake.
Sasa akawa anamtuliza anamwambia Dada utakuta umekosea NYUMBA. Anakazana kabisa ni hapa hapa kwa Jose. Wewe si ndo mke wa Jose? Sasa mumeo kanizalisha matumizi haleti nimeamua kuwaletea mtoto mumlee. Sasa like zogo likawavuta watu ndo kumtuliza yule Dada kuongea nae yule Dada ndo kugundua alipoenda sipo kwa muhusika.
Maana yake ni kwamba alishakua tayari kwenda kuvunja ndoa ya yule baba mtoto bila kujali mwenzie ana mke. Pata picha huyo baba alimficha mkewe kuhusu kuzaa nje halafu ghafla anakuja kutupiwa kichanga cha miezi mine akilee na mkewe.
Ni ujinga huo na upumbavu mkubwa.alibakwa?wakati anabeba mimba bila ndoa hakua na akili?upumbavu wa kulenga wanaume ili kumaliza matatizo kwa kigezo cha mtoto utasababisha kua na kizazi kisicho na malezi sahihi.
Kutegesha mimba ni ushenzi.
Kukataa kutoa matumizi ya mwanao ni ushenzi.
Kuzaa na mwanamke mwingine wakati umeoa ni ushenzi.
Wote ni washenzi, na hakuna namna unaweza kumtetea mmoja kati yao!
Kama huwezi kucheza rafu in the shadows without leaving a trace ni bora utulie na mkeo.
Nothing more, nothing less!
Kila mtu anaona kosa la mwanamke tu, mwanaume ni victim eti tehWote wajinga, kwani huyo mwanaume hakujijua ni mume wa mtu hadi atoke nje ya ndoa yake, tena kwa ufala akala peku!!
Hopefuly hajamletea mkewe na maradhi
Hapo ndio huwa sielewi, atleast -KANA- kaangalia upande mwingine tena yeye ni mwanaume.
Huo uvictim wao ndio sijauelewa kabisa.
Uchepuke, uzae nje afu mtoto umtelekeze, afu still unataka uheshimiwe; heshima ipi hiyo?
Mtu katia mimba alafu hataki kutunza mwanae eti kisa ndoa. Hiyo ndoa ingekua muhimu asingecheza nje peku peku!Teh wanakazania eti mdada atamvunjia ndoa mwenzie, hiyo ndoa mbona ishajivunjikia the moment mume kaenda kulala na hawara! Watu kuheshimu ndoa hawataki, wanavua tu suruali hovyo, afu wategemee michepuko ndo iwaheshimie ndoa zao pyeee. Afu bora hata tusingekuwa tunafunga ndoa ili tuwe huru zaidi kufanya ufuska. Kiapo cha commitment cha kazi gani if we belong to everyone?
Teh wanakazania eti mdada atamvunjia ndoa mwenzie, hiyo ndoa mbona ishajivunjikia the moment mume kaenda kulala na hawara! Watu kuheshimu ndoa hawataki, wanavua tu suruali hovyo, afu wategemee michepuko ndo iwaheshimie ndoa zao pyeee. Afu bora hata tusingekuwa tunafunga ndoa ili tuwe huru zaidi kufanya ufuska. Kiapo cha commitment cha kazi gani if we belong to everyone?