Wanaume muwe waaminifu na ndoa sio kombolela. Angalieni mtaachwa uzeeni na Wamama hatuzeeki

Mke wa gates ana asili ya machame apuuzwe
 
Uchebe alifaidi nn?
 
Mimi hata nikikuoa hata ukitoka kulala na mabwana zako nipo tayari kukufulia chupi zako ambazo wamezichafua,. Uko sahihi kabisa inabidi wanaume tubadilike tuwatii wanawake maana kiuhalisia kushindana nao hautwezi.
Big simp ever happen πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…