Wanaume na dhana ya kutopenda mboga ya kabichi

Wanaume na dhana ya kutopenda mboga ya kabichi

[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hahhhahhhahhaa [emoji1787].. ddddah. Nimecheka kwel kweli yani . Dah!
Ila una point hapa.. sometime hata mboga inakua confused iwe na ladha gani.. LoL

Sent from my Redmi 5 using JamiiForums mobile app
Mboga inakua confussed?😂😂😂😂
 
Kuelekea January!!! Mshaanza kujifaliji!!!!

Wabongo bhana eti kabich ni Tamuu[emoji23]Nan Alisema!!!!!!!
 
Ni kwanini wanaume mnaichukia kabichi?

Skukuu yote hii nilitamani niwafukuze hawa wageni.

Asilimia kubwa wote waliiponda kabichi,
Mwingine anaita
Minyoo hiyo Mimi silagi.

Mwingine Nani ale mizizi hiyo?


Oooh sijawa ng'ombe hiyo kabichi usirudie kunitengea.

Huyu ndo balaa eti me yf akipika kabichi nikiikuta tu hadi sufuria alilopikia nalitupa,,, sipendi ujingaujinga.

Nimestaajabu sana kwa nini wanaume hampendi mboga ya kabichi?
Iliwafanya nini au INA nini kwenu?

Haisee sijui kwa nini[emoji1787] me huwa nikiiona hata huwa nakosa hata hamu ya kula even kwa ndg na jamaa ambaye amepika hata kama niko na njaa kiasi gani naweza sema nimeshiba na katu hata waniforce vipi siwezi isogolea....aisee madaktari pls njoo hapa mtueleze kwa nini wanaume sisi hatupendi sana KABICHI hasa wa Dar[emoji15]
 
Wengi tuliowahi kula kabichi iliyopikwa kama supu ya utumbo huwezi kutulisha hiyo kitu, ila ukila iliyopatiwa kupikwa aise ni nzuri sana.
 
Kabichi mapishi tu, kuna jinsi inakua na viungo masala sijui nn....
Nyama yenyewe inasubiri.
Kuna jinsi wanapika wahindi, ile kabichi ni hataree...
 
Haisee sijui kwa nini[emoji1787] me huwa nikiiona hata huwa nakosa hata hamu ya kula even kwa ndg na jamaa ambaye amepika hata kama niko na njaa kiasi gani naweza sema nimeshiba na katu hata waniforce vipi siwezi isogolea....aisee madaktari pls njoo hapa mtueleze kwa nini wanaume sisi hatupendi sana KABICHI hasa wa Dar[emoji15]
Wewe tena upimwe kabisa
 
Njaa-nuary
IMG_5780.JPG
 
Ni kwanini wanaume mnaichukia kabichi?

Skukuu yote hii nilitamani niwafukuze hawa wageni.

Asilimia kubwa wote waliiponda kabichi,
Mwingine anaita
Minyoo hiyo Mimi silagi.

Mwingine Nani ale mizizi hiyo?


Oooh sijawa ng'ombe hiyo kabichi usirudie kunitengea.

Huyu ndo balaa eti me yf akipika kabichi nikiikuta tu hadi sufuria alilopikia nalitupa,,, sipendi ujingaujinga.

Nimestaajabu sana kwa nini wanaume hampendi mboga ya kabichi?
Iliwafanya nini au INA nini kwenu?
Kabichi ni mboga nzuri sana. Ni raphage inayosaidia mmengenyo Wa chakula pia inapunguza constipation ,
Kuto kuelewa tu
 
Nakumbuka ni mboga iliyokua inaleta ugomvi mkubwa sana nyumbani, Baba alkua haipendi hata kidogo.
Binafsi hata ukiichemsha nakula fresh tu. Na wanaaongoza kuila ni watu wa nyanda za juu kusini kama sikosei🙂
 
Naichukia kabichi inanikumbusha sekondari A level pale Moshi Tech
 
Back
Top Bottom