ikhatibu
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 2,449
- 2,409
umearibu siku yanguPicha kwa hisani ya Uzi wa VyakulaView attachment 1661544
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umearibu siku yanguPicha kwa hisani ya Uzi wa VyakulaView attachment 1661544
Pole sana mhanga[emoji16]Kweli kabisa kuna muda unatamani upate taste ya unachokula lakini spices zinazidi kiasi kwamba huelewi elewi yani hadi una concentrate kwa makini hata uvute hisia labda utapata taste
Nishapoa ndugu hakuna namna
Mkuu....
Ebu wakati mwingine muachage masihara kwenye mambo ya msingi...[emoji53][emoji53]View attachment 1661655
Mama ni mama mtembelee kabla mwaka haujaisha.Umenikumbusha, wiki hii lazima nimtembelee mama yangu mzazi,akanipikie wali kabichi, yeye ndio kanifanya nipende kabichi, wali kabichi ni mtamu saana.
Kabichi umpate mpishi mzuri, ni tamu haina mfano,
Kiporo cha wali kabichi na mikate ilikuwa moja kati ya collabo bora zaidi kwa asubuhi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Itoshe kusema cabbage is overrated... Bora nile mavi
Wanaume kama mabinti hao.Ni kwanini wanaume mnaichukia kabichi?
Skukuu yote hii nilitamani niwafukuze hawa wageni.
Asilimia kubwa wote waliiponda kabichi,
Mwingine anaita
Minyoo hiyo Mimi silagi.
Mwingine Nani ale mizizi hiyo?
Oooh sijawa ng'ombe hiyo kabichi usirudie kunitengea.
Huyu ndo balaa eti me yf akipika kabichi nikiikuta tu hadi sufuria alilopikia nalitupa,,, sipendi ujingaujinga.
Nimestaajabu sana kwa nini wanaume hampendi mboga ya kabichi?
Iliwafanya nini au INA nini kwenu?