Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiasi fulani ila sikuzidi wewe..😜Ha ha ha h jinga
hiyo ya kabichi ya kukaanga na kitunguu,hoho na karoti naikubali sana,ila huwa naongeza na tangawiziKabichi utumbo na wali..... hii combo ni 🔥
Kabichi nalitembeza aidha liwe limekatwakatwa na kutumika kwenye kachumbari au limekaangwa tu na viungo kama kitunguu, hoho na karoti bila nyanya.
Wasiopenda kabichi wana lao jambo.
Naichukia kabichi.naichukiaaa kabichiiii.naichukiaaaaaa kabichiiiiiiiiiiii.
Samahani mkuu....Picha kwa hisani ya Uzi wa VyakulaView attachment 1661544
Samahani mkuu....
Kwani uo ugali unamtosha mtu ama mwanaume wa huko daslam...??[emoji2960]
Mkuu....mkuu mbona mimi wa mkoani lakini huo ugali ndio kipimo changu na nashiba sana, ugali mkubwa zaidi ya hapo simalizi
Kabichi ni kiungo kinacho simamisha fimbo ya Musa...😜😜HIVI KABICHI NI MBOGA MBOGA AU MBOGA MBOGA ILIYOKOSA VIRUTUBISHO KUIFANYA IWE YA KIJANI?
Kila kitu kikiwa green ni kizuri kwa afya.
Samahani mkuu....
Kwani uo ugali unamtosha mtu ama mwanaume wa huko daslam...??🤭
Sawa mwali, basi pole zangu zimfikie shemeji kwakweli...😜😜Mkuu huo unatosha sana, hata huku mkoani wanakula hivyo😎
Sawa mwali, ngoja tu nikar kimya....😐😐Ha ha ha kaka mkubwa usituvunje mbavu mbona ni mwingi tena
Wanaokula hivi wanajua kutosheleza Kule wizaraniMkuu....
Ebu wakati mwingine muachage masihara kwenye mambo ya msingi...[emoji53][emoji53]View attachment 1661655