Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niko fresh kabisa MkuuSamahani but, uniwie radhi mzee.....mtarimbo unasimama vizuri.?...maana kabichi, spinach, chinese inasemekana zinaharibu mambo!
hii ni tofauti kati ya mboga saba na Tuliokulia maisha Magumusasa utawatofautisha vipi watu wa vijijini na Ng'ombe?
Kwa wale wasiyojua kuhusu kabichi ni mboga nzuri sana na hata wenye matatizo ya vidonda ni dawa nzuri sana kwaoNi kwanini wanaume mnaichukia kabichi?
Skukuu yote hii nilitamani niwafukuze hawa wageni.
Asilimia kubwa wote waliiponda kabichi,
Mwingine anaita
Minyoo hiyo Mimi silagi.
Mwingine Nani ale mizizi hiyo?
Oooh sijawa ng'ombe hiyo kabichi usirudie kunitengea.
Huyu ndo balaa eti me yf akipika kabichi nikiikuta tu hadi sufuria alilopikia nalitupa,,, sipendi ujingaujinga.
Nimestaajabu sana kwa nini wanaume hampendi mboga ya kabichi?
Iliwafanya nini au INA nini kwenu?
Ni uongo mkubwa sanaKwani inaleta hasara yoyote kwenye uwanaume wetu au ??
Embu mnijuze mapema
WaelezeKwa wale wasiyojua kuhusu kabichi ni mboga nzuri sana na hata wenye matatizo ya vidonda ni dawa nzuri sana kwao
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Umeona sasa ..hiyo hata mimi mwenyewe hunilishi hata kwa Grader au BulldozerKabichi yenye kitunguu karoti hoho unaikangaa vizuri isikae jikoni sanaaa na usiwe na maji
Ina virutubisho mkuu, kwa mfano wale wanaosumbuliwa na unene kabichi ni mzuri sana kwao pia inapunguza uzito, nitoshe kusema hayoHIVI KABICHI NI MBOGA MBOGA AU MBOGA MBOGA ILIYOKOSA VIRUTUBISHO KUIFANYA IWE YA KIJANI?
Hahahah acha jeuri km hii yaUmeona sasa ..hiyo hata mimi mwenyewe hunilishi hata kwa Grader au Bulldozer
Km ya huyu mkuuPicha kwa hisani ya Uzi wa VyakulaView attachment 1661544
[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hahhhahhhahhaa [emoji1787].. ddddah. Nimecheka kwel kweli yani . Dah!Unakula hata hupati taste ya unachokula, yani haieleweki unakula kitu gani hadi unaweza kuuliza hivi haya ni maharage kweli [emoji28]
Kweli kabisa kuna muda unatamani upate taste ya unachokula lakini spices zinazidi kiasi kwamba huelewi elewi yani hadi una concentrate kwa makini hata uvute hisia labda utapata taste[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hahhhahhhahhaa [emoji1787].. ddddah. Nimecheka kwel kweli yani . Dah!
Ila una point hapa.. sometime hata mboga inakua confused iwe na ladha gani.. LoL
Sent from my Redmi 5 using JamiiForums mobile app
haijamkuta fundi hiyo mboga balaa ikiungea kwa naziMboga nyingine majani ya kunde naona kama nakula vipande vya pvc laini.