Mboga inakua confussed?ππππ[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hahhhahhhahhaa [emoji1787].. ddddah. Nimecheka kwel kweli yani . Dah!
Ila una point hapa.. sometime hata mboga inakua confused iwe na ladha gani.. LoL
Sent from my Redmi 5 using JamiiForums mobile app
Namtembelea mara kwa mara, mtembeleo huu ni special kwa wali na kabichi(kameiva)Mama ni mama mtembelee kabla mwaka haujaisha.
mboga labda huko kwenu kolomijeπ si dar tunatengenezea kachumbari.Se
Ma INA matumizi 2
Km kachumbari
Na ni mboga
Ni kwanini wanaume mnaichukia kabichi?
Skukuu yote hii nilitamani niwafukuze hawa wageni.
Asilimia kubwa wote waliiponda kabichi,
Mwingine anaita
Minyoo hiyo Mimi silagi.
Mwingine Nani ale mizizi hiyo?
Oooh sijawa ng'ombe hiyo kabichi usirudie kunitengea.
Huyu ndo balaa eti me yf akipika kabichi nikiikuta tu hadi sufuria alilopikia nalitupa,,, sipendi ujingaujinga.
Nimestaajabu sana kwa nini wanaume hampendi mboga ya kabichi?
Iliwafanya nini au INA nini kwenu?
Fresh tu yani, nikiacha kula basi siku hiyo imepikwa vibayaWe zotezote twende
Wewe tena upimwe kabisaHaisee sijui kwa nini[emoji1787] me huwa nikiiona hata huwa nakosa hata hamu ya kula even kwa ndg na jamaa ambaye amepika hata kama niko na njaa kiasi gani naweza sema nimeshiba na katu hata waniforce vipi siwezi isogolea....aisee madaktari pls njoo hapa mtueleze kwa nini wanaume sisi hatupendi sana KABICHI hasa wa Dar[emoji15]
ningelijua niniππHivi wa kolomije ndo kila kitu kibaya kwao sio.
Ungelijua
Kabichi ni mboga nzuri sana. Ni raphage inayosaidia mmengenyo Wa chakula pia inapunguza constipation ,Ni kwanini wanaume mnaichukia kabichi?
Skukuu yote hii nilitamani niwafukuze hawa wageni.
Asilimia kubwa wote waliiponda kabichi,
Mwingine anaita
Minyoo hiyo Mimi silagi.
Mwingine Nani ale mizizi hiyo?
Oooh sijawa ng'ombe hiyo kabichi usirudie kunitengea.
Huyu ndo balaa eti me yf akipika kabichi nikiikuta tu hadi sufuria alilopikia nalitupa,,, sipendi ujingaujinga.
Nimestaajabu sana kwa nini wanaume hampendi mboga ya kabichi?
Iliwafanya nini au INA nini kwenu?
Yaani.. [emoji16][emoji38]Mboga inakua confussed?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ugali na kabichi siuwezi kabisaa! Nitakachotumia hapo ni maziwa.Picha kwa hisani ya Uzi wa VyakulaView attachment 1661544
Pole sana, kweli kabichi haipendwiUgali na kabichi siuwezi kabisaa! Nitakachotumia hapo ni maziwa.