Wanaume na kubadili dini

Mnataka 50%sasa mnafatwa mnalalama kuwa Kuna vyeo vimepingua kila mtu asimamie misingi yake tuπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜Ž
wanawake ambao bado tunataka kusmamiwa na mwanaume bado tupo tunaishi, mwanaume lazima awe kiongozi despite amenikuta na mahela yangu lakini lazima awe na sauti sasa ushabadili dini kunifuata unafikiri hapo kutakua na nn zaidi ya kupelekeshana
 
Wanaume wengi wanaofanya hivyo wanabadili dini kwa muda tu baadae anarudi kwenye dini yake ya zamani
 
mimi sio mraibu sana japo iliniuma sana, sasa mna dini tofuat mnaishije?? ni kutafta wa dini yako
 
huo n uamuzi wako hakuna wa kukuingulia lakini wanangu wa kiume nitawafundisha kujiamini na kuielewa thaman ya kua wa kiume na namna anatakiwa kua kama kiongoz na baba ajae
 
aione
barnaba wa mama kimbo
 
mwanaume anaye badili dini kisa uchi unatarajia anakua baba wa aina gani
 
hii mada n senstive usikute anayekubishia ndio yupo kwenyw hio situation mwanaume ameumbwa kiongozi na nguzo ya familia we angalia familia nyingi ukiona baba hanamsimamo rudi kwa mwanamke uone
 
huo n uamuzi wako hakuna wa kukuingulia lakini wanangu wa kiume nitawafundisha kujiamini na kuielewa thaman ya kua wa kiume na namna anatakiwa kua kama kiongoz na baba ajae
Kumbe hakuna kuingilia uamuzi wa mtu?! Sasa mbona unataka kuingilia maamuzi ya mtu mzima aliyebadilisha Dini?
 
Kubadili dini inabaki choice ya mtu, haigusiani na msimamo kama mwanaume, unless uje na evidence wanaume waliobadilisha dini wamefeli kuongoza familia zao
Mleta mada nafikiri anamaanisha sio kubadili dini kisa kuvutiwa na imani nyingine au choices no, she mean yani man kubadili dini immediately kisa ampate mwanamke. Is not that enough for a sane woman to judge that her man hajajitosheleza? Kama alibadilibkisa akupate then ahame why usimkubali akiwa kwenye dini yake? Don’t you think kwamba pengine amebadili ili akupate tu then aendelee na dini yake?

Kama alihama dini muda then mkakutana ndani ya dini sawa, lakini on the spot nihame dini ati kigezo nimpate girl that’s the sign of fewer masculines in me, it’s a weakness.

For some ladies anaweza kutumia huu mwanya kama silaha kua anajaribu kutikisa kiberiti to force something.
 
sasa yule unatarajia awe na sauti ndani ya nyumba? no, kwanza kitendo chakubadili dini kumfata mwanamke tayar huo ni udhaifu
Tuko pamoja mama mwana, mie mwanaume akikubali kufuata dini yangu nampangia namna ya kumuacha, kuna mkaka flani hivi nilimsimulia shida zangu alikuwa ananitongoza kiaina basi akaanza kutokwa machozi yani niliflot hata tule tuhisia tulitwokuwa tumeanza tulipoa twoooote na nilimkatia ukaribu mpaka alishangaa asijue sababu, wanawake hatupendi wanaume wanaoendeshwa kama remote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…