Wanaume na kubadili dini

Inategemea huyo mwanamke kakukunaje, kuna watoto wakike nyie acheni kabisa yaani anakupenda na ukieenda kwao nao wana upendo.

Achana na kwao yaani yeye anaupiga mwingi na yuko tayari kufanya lolote juu yako hata uwe na dhiki, huyu mwanamke tuseme ni muslim afu wewe ni christian, if its me nabadili tu dini hakuna namna.

Nipo tayari kubadili dini kwa mwanamke wa dizaini hiyo hapo juu.
 

Nakazia………
 
ahahahahahaa yan na lile piko lake kule kichwani ptuu wanawake tuna kaz sana
Mtusamehe tu....wengi wetu tumepoteza ile hadhi ya uanaume....Kuna jambo limemfuta kufanya vile...kama c umarioo atakuwa kapewa limbwata huyo
 
Mtusamehe tu....wengi wetu tumepoteza ile hadhi ya uanaume....Kuna jambo limemfuta kufanya vile...kama c umarioo atakuwa kapewa limbwata huyo
siwezi kusema hapana wala ndio sababu sjamshuhudia
 
Sawa niskate tamaa ila kumpata mtu mwenye malengo kwako kama we uliyonayo kwake now ni changamoto tunakuwa na matarajio makubwa kwa wasiokuwa watu wetu siku ikifka wakageuka unaanza mara yule ni mbaya [emoji19] hapana sio mbaya ni hakuwa wangu pengne mawazo hayakuendana it's better nikae pekeangu kwanza nikianza kunenepa naanza kumtafta wa kuwa nae 😀😀[emoji4]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…