kiboboso
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 9,323
- 12,594
Mfumo fume... Huu ni mfumo mpya ama...Mfumofume unanyanyapaa mpaka haki za kikatiba za watu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfumo fume... Huu ni mfumo mpya ama...Mfumofume unanyanyapaa mpaka haki za kikatiba za watu.
Huo ni mfumodume unao fume. Unaotoa povu.Mfumo fume... Huu ni mfumo mpya ama...
Au tuendelee kuishi nayo ivoivo 😂duh haya
Au unataka kusema nn chief 😂Ahahahah wew mzee wew
We mimi sibadili labda wwNdugu tunabadili hatubadili?
Sina neno kabisaAu unataka kusema nn chief 😂
Ahahahah na anzia wap?We mimi sibadili labda ww
Kutikisa kiberiti, inategemea hio couple imeishije, kama mwanaume amesimama kama mwanaume katika familia, na mwanamke aliyeoolewa hachukulii kubadili dini ni sign of weakness,sidhani kama kutakua na kutikisa kiberiti...
ni perception tu za watu mwanaume anayebadilisha dini ni weak,less masculine, in reality hakuna kilichopungua,...anaweza kuperform duties zake vile vile kama mwanaume,......
Binafsi naamini mtu anabadilisha dini bada ya kukubaliana na miongozo ya dini hio mpya au ameona potential benefits za kuwa kwenye hio dini, na sio kumpata mtu kama tunavyotafsiri waja,na hata kama mtu ana badili dini kisa kupata mwanamke still tuheshimu choice zake, mtu huyu anakua ame weigh na kuona huyu mwanamke is worth the sacrifice, ni choice ya mtu ..
Mtusamehe tu....wengi wetu tumepoteza ile hadhi ya uanaume....Kuna jambo limemfuta kufanya vile...kama c umarioo atakuwa kapewa limbwata huyoahahahahahaa yan na lile piko lake kule kichwani ptuu wanawake tuna kaz sana
siwezi kusema hapana wala ndio sababu sjamshuhudiaMtusamehe tu....wengi wetu tumepoteza ile hadhi ya uanaume....Kuna jambo limemfuta kufanya vile...kama c umarioo atakuwa kapewa limbwata huyo
Enhe kwani hamna wanaoachana na kupeana talaka?[emoji849]we hujawahi kudikia mwenzetuKwanini muachane!?
hakuna shida utakubali?unataka kunioa?
kumbe kuolewa ni rahisi kama kuzima taa hivi nimechelewa wapi sjuihakuna shida utakubali?
Ukimpata mbavu yako ni chap tu.kumbe kuolewa ni rahisi kama kuzima taa hivi nimechelewa wapi sjui
yaliyomo yamoUkimpata mbavu yako ni chap tu.
Sawa niskate tamaa ila kumpata mtu mwenye malengo kwako kama we uliyonayo kwake now ni changamoto tunakuwa na matarajio makubwa kwa wasiokuwa watu wetu siku ikifka wakageuka unaanza mara yule ni mbaya [emoji19] hapana sio mbaya ni hakuwa wangu pengne mawazo hayakuendana it's better nikae pekeangu kwanza nikianza kunenepa naanza kumtafta wa kuwa nae 😀😀[emoji4]kwa hapa nilipofikia am glad nimepitia hizo changamoto mana sioni jipya imenifanya nimekua mkomavu na sikukata tamaa yule mshenzi skutegemea angenitenda vile kibaya zaidi tulikua wanawake kama wanne sote katufanyia hivo akaja kuoa mwanamke alijua kumpelekesha siku nakuja kujua ndoa haina mwaka ishakwenda na maji nilisema malipo ni hapa hapa kwa kweli tukikutana insta full kuomba msamaha nasijawah kumjibu either nimemsamehe au sjamsamehe as long as i have my own life, na ninaishi my fucking good life halaf Mungu akajua kunipa mwanaume anayenijulia hivo usikate tamaa