Wanaume na kubadili dini

Wanaume na kubadili dini

Inategemea huyo mwanamke kakukunaje, kuna watoto wakike nyie acheni kabisa yaani anakupenda na ukieenda kwao nao wana upendo.

Achana na kwao yaani yeye anaupiga mwingi na yuko tayari kufanya lolote juu yako hata uwe na dhiki, huyu mwanamke tuseme ni muslim afu wewe ni christian, if its me nabadili tu dini hakuna namna.

Nipo tayari kubadili dini kwa mwanamke wa dizaini hiyo hapo juu.
 
Kutikisa kiberiti, inategemea hio couple imeishije, kama mwanaume amesimama kama mwanaume katika familia, na mwanamke aliyeoolewa hachukulii kubadili dini ni sign of weakness,sidhani kama kutakua na kutikisa kiberiti...

ni perception tu za watu mwanaume anayebadilisha dini ni weak,less masculine, in reality hakuna kilichopungua,...anaweza kuperform duties zake vile vile kama mwanaume,......

Binafsi naamini mtu anabadilisha dini bada ya kukubaliana na miongozo ya dini hio mpya au ameona potential benefits za kuwa kwenye hio dini, na sio kumpata mtu kama tunavyotafsiri waja,na hata kama mtu ana badili dini kisa kupata mwanamke still tuheshimu choice zake, mtu huyu anakua ame weigh na kuona huyu mwanamke is worth the sacrifice, ni choice ya mtu ..

Nakazia………
 
ahahahahahaa yan na lile piko lake kule kichwani ptuu wanawake tuna kaz sana
Mtusamehe tu....wengi wetu tumepoteza ile hadhi ya uanaume....Kuna jambo limemfuta kufanya vile...kama c umarioo atakuwa kapewa limbwata huyo
 
Mtusamehe tu....wengi wetu tumepoteza ile hadhi ya uanaume....Kuna jambo limemfuta kufanya vile...kama c umarioo atakuwa kapewa limbwata huyo
siwezi kusema hapana wala ndio sababu sjamshuhudia
 
kwa hapa nilipofikia am glad nimepitia hizo changamoto mana sioni jipya imenifanya nimekua mkomavu na sikukata tamaa yule mshenzi skutegemea angenitenda vile kibaya zaidi tulikua wanawake kama wanne sote katufanyia hivo akaja kuoa mwanamke alijua kumpelekesha siku nakuja kujua ndoa haina mwaka ishakwenda na maji nilisema malipo ni hapa hapa kwa kweli tukikutana insta full kuomba msamaha nasijawah kumjibu either nimemsamehe au sjamsamehe as long as i have my own life, na ninaishi my fucking good life halaf Mungu akajua kunipa mwanaume anayenijulia hivo usikate tamaa
Sawa niskate tamaa ila kumpata mtu mwenye malengo kwako kama we uliyonayo kwake now ni changamoto tunakuwa na matarajio makubwa kwa wasiokuwa watu wetu siku ikifka wakageuka unaanza mara yule ni mbaya [emoji19] hapana sio mbaya ni hakuwa wangu pengne mawazo hayakuendana it's better nikae pekeangu kwanza nikianza kunenepa naanza kumtafta wa kuwa nae 😀😀[emoji4]
 
Back
Top Bottom