Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Ahahahah wew mzee wewHakuna kubadili mmbo ya mbususu mtaani zipo analogy🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahahah wew mzee wewHakuna kubadili mmbo ya mbususu mtaani zipo analogy🤣🤣
duh hayaMnatakiwa mje mfundishe maswala ya ndoa nayo maana wanawake mnatupa lawama nyingi pasipo kujitazama nyinyi kwanza mko sehem gan🤣🤣
Ndiyohicho kifua hapo kwenye picha ni chako
oooh sorryHuyo mwana au...!! ?
Afu mimi sio nigga 🤓🤓🤓
🤓🤓🙌🙌🙌🙏oooh sorry
hongeraNdiyo
Hutaki kuelewa sababu ya ubinafsi ulonao
Mapenz ndio yanaamua watu wanajali furaha zao hawaangalii watu wataonaje
Nakazia hapo kabisaa[emoji2][emoji2]Kumbe kufungiwa jf kunauma hivi siku zilikua hazisongi any way tuachane na hayo.
Unamchukuliaje mwanaume anayebadili dini kisa mwanamke, mimi namuona wa ajabu kweli kama ameshindwa kusimamia imani ya dini yake bas hata maamuzi kama baba wa familia hatokua nayo mke akimkingia kibesi tayar kaflot,
Wanaume acheni huu ufwala kama binti amekupenda akufuate na sio wewe umfuate na tambua once utaamua kumfuata huyo manzi kisa dini kuna vyeo flani flani umejivua kama mwanaume tafuta wa dini yako wanawake tuko kibao usipelekeshwe na tamaa za moyo wako bila kushirikisha akili yako utaja umia
Asante umekipendq?hongera
sana kimenitia nyege nikakumbuka huku ni mtandaoni akili ikarudAsante umekipendq?
Pole sana besana kimenitia nyege nikakumbuka huku ni mtandaoni akili ikarud
Hawara ako kabadil dini kwa ajili ya kimada kingine unakuja foka hukuKumbe kufungiwa jf kunauma hivi siku zilikua hazisongi any way tuachane na hayo.
Unamchukuliaje mwanaume anayebadili dini kisa mwanamke, mimi namuona wa ajabu kweli kama ameshindwa kusimamia imani ya dini yake bas hata maamuzi kama baba wa familia hatokua nayo mke akimkingia kibesi tayar kaflot,
Wanaume acheni huu ufwala kama binti amekupenda akufuate na sio wewe umfuate na tambua once utaamua kumfuata huyo manzi kisa dini kuna vyeo flani flani umejivua kama mwanaume tafuta wa dini yako wanawake tuko kibao usipelekeshwe na tamaa za moyo wako bila kushirikisha akili yako utaja umia
Yeye Ni mweusi hiyo picha sio yeyehongera
Watu wenye maarifa huhamia imani/dini nyingine baada ya kuelewa mafundisho ya dini husika.Kumbe kufungiwa jf kunauma hivi siku zilikua hazisongi any way tuachane na hayo.
Unamchukuliaje mwanaume anayebadili dini kisa mwanamke, mimi namuona wa ajabu kweli kama ameshindwa kusimamia imani ya dini yake bas hata maamuzi kama baba wa familia hatokua nayo mke akimkingia kibesi tayar kaflot,
Wanaume acheni huu ufwala kama binti amekupenda akufuate na sio wewe umfuate na tambua once utaamua kumfuata huyo manzi kisa dini kuna vyeo flani flani umejivua kama mwanaume tafuta wa dini yako wanawake tuko kibao usipelekeshwe na tamaa za moyo wako bila kushirikisha akili yako utaja umia
watu wengi huhama dini kisa mapenzi na yakiisha hurudi kwenye imani zao za awali hilo unassmajeWatu wenye maarifa huhamia imani/dini nyingine baada ya kuelewa mafundisho ya dini husika.
Ikitokea mwanamke akamfundisha naye akatamnbua kuwa, njia isiyo na mashaka ya kufika Mbinguni ipo kwenye dini yake, kwa nini asihamie?
Lakini pia unakuta mwanamme mwingine yupo yupo, anajiita wa dini nyingine kwa ajili ya jina lake naye anategemea mwanake amfuate; tuweni basi serious!