Wanaume na vijana wadogo acheni ulalamishi kuombwa pesa na wanawake

Wanaume na vijana wadogo acheni ulalamishi kuombwa pesa na wanawake

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Kwenye mitandao mingi ya kijamii kupitia majadiliano na memes mbalimbali au hata comedy kumekuwepo na tabia ya ulalamishi unaozidi kushika kasia kwa vijana wa kiume kulalamika kuombwa pesa na wanawake au wale walio na wanawake walio na kazi kutoona mchango wa kipato cha wanawake wao kwao au katika familia.

Pia kumekuwepo na malalamiko kwamba wanawake wanapenda au kuvutiwa na wanaume wenye pesa zaidi.

Kiuhalisia mambo yote haya ni kweli kabisa na kuna sababu za msingi kabisa za wanawake kuwa hivyo, sababu yenyewe ni mageuzi ya kibinadamu(evolution), hayajifika ukomo wake.

Kwa malaki na maelfu ya miaka mwanamke alikuwa tegemezi kwa mwanaume kwa kila kitu na hata baada ya mabadiliko makubwa ya binadamu bado kuna mambo mengi ya kisaikolojia yaliyobaki kama mabaki ambayo hayabadiliki kwa urahisi na yanaweza kuchukua hata maelfu mengine ya miaka kubadilika.

Mifano ya hii ipo mingi mfano tabia ya binadamu kupenda sana vitu vya sukari ambavyo havina umuhimu mkubwa kwa afya yake kutokana evolution psychology iliyobakia ubongoni kutokana na kwamba nyakati hizo binadamu akiishi porini kupata matunda matamu au asali ilikuwa shida sana na ukiweza kuvipata ilibidi kuvila haraka haraka ili usinyang'anywe na jamii nyingine za wanyama au binadamu, mfano mwingine ni binadamu hata wa mjini kuogopa sana nyoka kuliko kugongwa na gari kwa sababu binadamu alizoea kuishi porini kwa muda mrefu (kiuhalisia ajali za gari na nyingi kuliko za nyoka)

Katika suala la mwanamke kutegemea na kuomba zaidi pesa za mwanaume au kupenda wanaume wenye pesa au mafanikio liko katika misingi hiyo hiyo ya psychology evolution, ndio maana hata anaweza kuwa na pesa za kumtosheleza mahitaji yake na bado akaomba tu za mwanaume ndipo anapopata utulivu.
 
Katika suala la mwanamke kutegemea na kuomba zaidi pesa za mwanaume au kupenda wanaume wenye pesa au mafanikio liko katika misingi hiyo hiyo ya psychology evolution, ndio maana hata anaweza kuwa na pesa za kumtosheleza mahitaji yake na bado akaomba tu.
Interesting
 
Kwenye mitandao mingi ya kijamii kupitia majadiliano na memes mbalimbali au hata comedy kumekuwepo na tabia ya ulalamishi unaozidi kushika kasia kwa vijana wa kiume kulalamika kuombwa pesa na wanawake au wale walio na wanawake walio na kazi kutoona mchango wa kipato cha wanawake wao kwao au katika familia.

Pia kumekuwepo na malalamiko kwamba wanawake wanapenda au kuvutiwa na wanaume wenye pesa zaidi.

Kiuhalisia mambo yote haya ni kweli kabisa na kuna sababu za msingi kabisa za wanawake kuwa hivyo, sababu yenyewe ni mageuzi ya kibinadamu(evolution), hayajifika ukomo wake.

Kwa maelfu malaki na maelfu ya miaka mwanamke alikuwa tegemezi kwa mwanaume kwa kila kitu na hata baada ya mabadiliko makubwa ya binadamu bado kuna mambo mengi ya kisaikolojia yaliyobaki kama mabaki ambayo hayabadiliki kwa urahisi na yanaweza kuchukua hata maelfu mengine ya miaka kubadilika.

Mifano ya hii ipo mingi mfano tabia ya binadamu kupenda sana vitu vya sukari ambavyo havina umuhimu mkubwa kwa afya yake kutokana evolution psychology iliyobakia ubongoni kutokana na kwamba nyakati hizo binadamu akiishi porini kupata matunda matamu au asali ilikuwa shida sana na ukiweza kuvipata ilibidi kuvila haraka haraka ili usinyang'anywe na jamii nyingine za wanyama au binadamu, mfano mwingine ni binadamu hata wa mjini kuogopa sana nyoka kuliko kugongwa na gari kwa sababu binadamu alizoea kuishi porini kwa muda mrefu (kiuhalisia ajali za gari na nyingi kuliko za nyoka)

Katika suala la mwanamke kutegemea na kuomba zaidi pesa za mwanaume au kupenda wanaume wenye pesa au mafanikio liko katika misingi hiyo hiyo ya psychology evolution, ndio maana hata anaweza kuwa na pesa za kumtosheleza mahitaji yake na bado akaomba tu za mwanaume ndipo anapopata utulivu.
Jamii nzima imweafanya wanawake ni bidhaa ya kununuliwa.

Na wewe unaendekeza na kuendeleza hili.
 
Kwenye mitandao mingi ya kijamii kupitia majadiliano na memes mbalimbali au hata comedy kumekuwepo na tabia ya ulalamishi unaozidi kushika kasia kwa vijana wa kiume kulalamika kuombwa pesa na wanawake au wale walio na wanawake walio na kazi kutoona mchango wa kipato cha wanawake wao kwao au katika familia.

Pia kumekuwepo na malalamiko kwamba wanawake wanapenda au kuvutiwa na wanaume wenye pesa zaidi.

Kiuhalisia mambo yote haya ni kweli kabisa na kuna sababu za msingi kabisa za wanawake kuwa hivyo, sababu yenyewe ni mageuzi ya kibinadamu(evolution), hayajifika ukomo wake.

Kwa malaki na maelfu ya miaka mwanamke alikuwa tegemezi kwa mwanaume kwa kila kitu na hata baada ya mabadiliko makubwa ya binadamu bado kuna mambo mengi ya kisaikolojia yaliyobaki kama mabaki ambayo hayabadiliki kwa urahisi na yanaweza kuchukua hata maelfu mengine ya miaka kubadilika.

Mifano ya hii ipo mingi mfano tabia ya binadamu kupenda sana vitu vya sukari ambavyo havina umuhimu mkubwa kwa afya yake kutokana evolution psychology iliyobakia ubongoni kutokana na kwamba nyakati hizo binadamu akiishi porini kupata matunda matamu au asali ilikuwa shida sana na ukiweza kuvipata ilibidi kuvila haraka haraka ili usinyang'anywe na jamii nyingine za wanyama au binadamu, mfano mwingine ni binadamu hata wa mjini kuogopa sana nyoka kuliko kugongwa na gari kwa sababu binadamu alizoea kuishi porini kwa muda mrefu (kiuhalisia ajali za gari na nyingi kuliko za nyoka)

Katika suala la mwanamke kutegemea na kuomba zaidi pesa za mwanaume au kupenda wanaume wenye pesa au mafanikio liko katika misingi hiyo hiyo ya psychology evolution, ndio maana hata anaweza kuwa na pesa za kumtosheleza mahitaji yake na bado akaomba tu za mwanaume ndipo anapopata utulivu.
Feminist huyo kashaingia,
Oyaa mkuu Natafuta Ajira njoo umueleweshe huyu
 
Ni kweli mkuu lakini kila evolution huja na mabadiliko ya mazingira ambayo humlazimu binadamu kuwa adaptable ili aendane nayo.

Mojawapo ya mabadiliko hayo ni maisha kuwa magumu lakini pia watu kuzitilia shaka baadhi ya tabia au desturi ambazo tuliziona sawa. Mfano hiyo ya mpenzi kuhudumiwa ilikuwa kawaida maana kila mahusiano yalikuwa na uhalali Ila kwa enzi hizi za mapenzi biashara. Vijana, wanashtuka kwa kuona si sawa
 
Jamii nzima imweafanya wanawake ni bidhaa ya kununuliwa.

Na wewe unaendekeza na kuendeleza hili.
Hili sio suala la jamii kuwafanya wanawake ni bidhaa ya kununuliwa, ni suala la evolutionary psychology, na katika hili zipo jamii mfano za West ambazo zimepiga hatua zaidi kuliko nyingine. Kwa Jamii kubwa ya kiAfrika mwanamke bado anachukuliwa kama mama wa nyumbani zaidi ambaye wajibu wake mkubwa ni kuzaa kutunza na kulea familia, mabinti na wanawake wengi wanalelewa katika mazingira haya na hapo ndipo yale mabaki ya ukale wa kuwa tegemezi kwa mwanaume katika bongo zao yanaendelea kuwa na nguvu zaidi kuliko jamii nyingine.
 
Ni kweli mkuu lakini kila evolution huja na mabadiliko ya mazingira ambayo humlazimu binadamu kuwa adaptable ili aendane nayo.

Mojawapo ya mabadiliko hayo ni maisha kuwa magumu lakini pia watu kuzitilia shaka baadhi ya tabia au desturi ambazo tuliziona sawa. Mfano hiyo ya mpenzi kuhudumiwa ilikuwa kawaida maana kila mahusiano yalikuwa na uhalali Ila kwa enzi hizi za mapenzi biashara. Vijana, wanashtuka kwa kuona si sawa
Bahati mbaya sana katika evolution mabadiliko ya kisaikolojia kwa binadamu yanachelewa tofauti na mabadiliko mengine, mabadilko ya kisaikolojia hayaji kirahisi, hiyo mismatch ndio inayoleta kelele zote hizi.
 
Hili sio suala la jamii kuwafanya wanawake ni bidhaa ya kununuliwa, ni suala la evolutionary psychology, na katika hili zipo jamii mfano za West ambazo zimepiga hatua zaidi kuliko nyingine. Kwa Jamii kubwa ya kiAfrika mwanamke bado anachukuliwa kama mama wa nyumbani zaidi ambaye wajibu wake mkubwa ni kuzaa kutunza na kulea familia, mabinti na wanawake wengi wanalelewa katika mazingira haya na hapo ndipo yale mabaki ya ukale wa kuwa tegemezi kwa mwanaume katika bongo zao yanaendelea kuwa na nguvu zaidi kuliko jamii nyingine.
This is a logical non sequitur fallacy.

There is no mutual exclusivity between evolutionary psychology and society making women a commodity.

In fact, a community may make women a commodity because of evolutionary psychology.

And once you realize that, if at all you stand for human rights and equity, you are supposed to address that.

But I am not so sure you can comprehend all of that.
 
Bahati mbaya sana katika evolution mabadiliko ya kisaikolojia kwa binadamu yanachelewa tofauti na mabadiliko mengine, mabadilko ya kisaikolojia hayaji kirahisi, hiyo mismatch ndio inayoleta kelele zote hizi.
Mimi naona tupo kwenye transition period yani watu wengi bado wanafuatisha traditional values ilhali wengine wameenda kwenye usasa.

Ni sawa na mwanamke feminist ambaye anaona kufanya kazi za nyumbani ni utumwa kwa mwanamke wa kisana lakini wakati huo huo anataka mwanaume wa kusimamia bills zake kama wanaume walivyofanya traditionally. Kwa minajili hii, hizo kelele haziepukiki mkuu 🙏🏽🙏🏽
 
And once you realize that, if at all you stand for human rights and equity, you are supposed to address that.
That cannot be addressed by men complaining and whining, but through addressing the fundamentals.
 
Mimi naona tupo kwenye transition period yani watu wengi bado wanafuatisha traditional values ilhali wengine wameenda kwenye usasa.

Ni sawa na mwanamke feminist ambaye anaona kufanya kazi za nyumbani ni utumwa kwa mwanamke wa kisana lakini wakati huo huo anataka mwanaume wa kusimamia bills zake kama wanaume walivyofanya traditionally. Kwa minajili hii, hizo kelele haziepukiki mkuu 🙏🏽🙏🏽
Sahihi kabisa
 
That cannot be addressed by men complaining and whining, but through addressing the fundamentals.
Every man will do what they want, and that is their constitutional and human right.

Why do you feel like you have the right to dictate to them how to live?
 
Back
Top Bottom