Kweli mnapenda afya zenu
Ni wachache wanaotuharibia ila tunajua sana kuandika hicho kiswahili.Nikija mkoan ntakua sjui hata kuandika kiswahili?
Kumbe na wewe wa mkoan ndio maana bas
asante sana mkuuOooh.. Poleni sana.. Karibuni mkoani huku maisha mazuli sana
Bakin huko huko mnafikr Ile mikate ya bakhresa mtaipatajeNi wachache wanaotuharibia ila tunajua sana kuandika hicho kiswahili.
πππππππππ Haki ya Mungu mchaga wewe unanipaga raha sana kwenye suala la hela hahahahahahahahahmkuu ndiyo unataka kunipa hela au?
We kadada wewe.mkuu ndiyo unataka kunipa hela au?
Asante!!! NimepoaPole Paplika
Nilijua ndio kama hayo ya arusha kumbe mnavaa ya kawaida ili muonekane nadhifu basi hapo sawa.Wakati mwingine ni swaga tu, unakuta koti unalo lakini huna pa kulivalia sababu ya joto, na huna gari la kiyoyozi kwa hiyo inabidi uliache tu.
Siku ukipata hali ya namna hii unaanza kutafuta koti lilipo unatupia, unaonekana nadhifu umevaa koti au unapiga suti kabisa. Ila makoti ya baridi kama yale wanavaa watu wa Arusha siyapendi aisee!
Sasa kinachokufanya ushangae hapo ni nini, mbona nyie mkija dar mijasho inawatoka inawatiririka hadi mikononi kwenye daladala mnawadondoshea abiria wenzenu, mnatukalia matumbo wazi, hadi wengine utasikia wanasema huu mji hawauwezi bora warudi mikoani kwao. Mbona sisi tunawachukulia kawaida tu tunajua hii hali hamjazoeaKimvua kidogo tu kimenyesha.. Mmeshanza kuvaa masweta na makoti utafikiri mpo kwenye Polar continents. . Mkija mkoani mtayaweza kweli maisha... Acheni mambo ya ajabu nyie watu..
Isipofika si hata wewe nitakuagiza tu au utakataa.Bakin huko huko mnafikr Ile mikate ya bakhresa mtaipataje
Endleen kutuudhi tu
si umeandika hela au nimeona vibaya?πππππππππ Haki ya Mungu mchaga wewe unanipaga raha sana kwenye suala la hela hahahahahahahahah
Duuuuh mpaka tanzania ya viwanda ipatikane magufuli ana kazi kubwa ya kufanya ,maana c kwa mawazo hayaKimvua kidogo tu kimenyesha.. Mmeshanza kuvaa masweta na makoti utafikiri mpo kwenye Polar continents. . Mkija mkoani mtayaweza kweli maisha... Acheni mambo ya ajabu nyie watu..
mkuu rudi kwenye ile post kaandika in na hela .. sina makosa?We kadada wewe.
Hela zitakuja kukuponza siku moja!!
Wewe ni wa Daslamu?Duuuuh mpaka tanzania ya viwanda ipatikane magufuli ana kazi kubwa ya kufanya ,maana c kwa mawazo haya
Nan akuletee kwa dharau hizo?Isipofika si hata wewe nitakuagiza tu au utakataa.
Wewe utakuwa una pumu wewena tunavaa rain boot pia na tunatembea na kile kidude cha kuvuta kwa ajili ya kifua
Hahahaha, kwaiyo na we fastaa ukajua fursa imejitokeza!!mkuu rudi kwenye ile post kaandika in na hela .. sina makosa?
Kwa baridi gani sasa?Embu niache na koti langu la RussiaView attachment 504333