Genius Man
JF-Expert Member
- Apr 7, 2024
- 1,012
- 2,317
Wanaume na wanawake wanaojitambua ambao hawajawai Kufanya uzinzi walio jitunza naomba tujuane hapa tafadhali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafasi ya mbele kabisaWanaume na wanawake wanaojitambua ambao hawajawai Kufanya uzinzi walio jitunza naomba tujuane hapa tafadhali
Daah, kizazi cha nyoka hawawezi kuamini kwamba kuna watu bado tunajitunza kwa usafiNimejitunza sana wadada wasiniharibie ujana wangu licha ya kuwa wananiita mchumba
wanaume wenyewe wakina juma lokoleNinyi wenetu ndio mnafanya sabuni zipande bei kila siku.
Ke acheni kutumia ma dildo qmmk
Sent using Jamii Forums mobile app
Mama mwana mambo?nimepewa bure kwa nini nikibanie? mwisho wa siku ukifukiwa kinaliwa na mchwa
Acha mawazo hasi binti, Sikiliza binti tafuta mume sahihi akuoe, simaanishi kwamba usifanye mapenzi lakini ni vizuri uwe kwenye sehemu sahihi sio unatumika tumika tu hovyonimepewa bure kwa nini nikibanie? mwisho wa siku ukifukiwa kinaliwa na mchwa
Broo simaanishi usifanye mapenzi no! Ili uwe mwanaume mzuri tafuta mke owa sawa hii itakuongezea muda wa kuishi na kuepukana na magonjwa mengi ya zinaaKibane baaaaneee mwisho kiliwe Na nyenyere📻
Hongera sana brother, kama unajitunza hayo magonjwa utakuwa unayasikia tu! Wewe kuwa smart yani jitafute ukijipata tafuta mke sahihi owaMimi ni mwanaume ninaejitunza. Sijawahi lala nje ya kwangu. Nafanya ya kufanya halafu naenda kulala nyumbani.
Kufanya uzinzi kivipi lo?
Kufanya matusi ya nguoni...Kufanya uzinzi kivipi lo?
Si unajua mwenzio Kiswahilii nilifeliiigi eeh!
Awwwwwwwww 😋😋😋😋😋😋!Kufanya matusi ya nguoni...