Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 14,516
- 50,658
Nimemzimia huyo mtotoWewe picha ya ester ya kazi gani mkuu🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimemzimia huyo mtotoWewe picha ya ester ya kazi gani mkuu🤣🤣🤣
Na ikiwapendeza zaidi tuingizwe kwenye vivutio vya taifa😂😂😂😂😂Hakika ni tunu Kwa taifa inabidi tulindwe Kwa Hali na Mali.....
Hhhhhhh harusi zetu ss hatuna kadi unaalikwa unakuja mchana kula pilau au biriani na jioni unakuja kupata swadaka yako ya halua maji sambusa na kekiHongera sana broo usisahau kadi sasa
Siku ukijua kwanini watu wanasema kuangalia picha za ngono na wanawake kwenye mitandao kuna athiri nguvu za kiume basi utajua kwanini nilicho kiandika ni kweli ...tatizo lako umeshindwa kujua madhara ya technology na kuchelewa kuanza sex kabla ya miaka 18.Mkuu, kufanya mapenzi hakutafsiliwi hivyo, so negative
Tupo wachache sana.Daah, kizazi cha nyoka hawawezi kuamini kwamba kuna watu bado tunajitunza kwa usafi
Hongere sana mkuu tupo kwenye kizazi cha uzinziTupo wachache sana.
Haya sawa mkuuSiku ukijua kwanini watu wanasema kuangalia picha za ngono na wanawake kwenye mitandao kuna athiri nguvu za kiume basi utajua kwanini nilicho kiandika ni kweli ...tatizo lako umeshindwa kujua madhara ya technology na kuchelewa kuanza sex kabla ya miaka 18.
Wewe unaongea habari za kusadikika siyo hali halisi ungekuwa wa kike ungeweza kuploof wewe mwenyewe hiki ninachokuambia ...nguvu za kiume za mvulana aliye wahi kujiusisha na sex kabla ya miaka 18 kamwe aziwezi kuwa sawa na yule aliye anza sex na miaka 26.
Nitafurahi kujumuika na nyie mkuuHhhhhhh harusi zetu ss hatuna kadi unaalikwa unakuja mchana kula pilau au biriani na jioni unakuja kupata swadaka yako ya halua maji sambusa na keki
Umeongea pointi sanaAcha mawazo hasi binti, Sikiliza binti tafuta mume sahihi akuoe, simaanishi kwamba usifanye mapenzi lakini ni vizuri uwe kwenye sehemu sahihi sio unatumika tumika tu hovyo
Asante sanaUmeongea pointi sana
HeeeWanaume na wanawake wanaojitambua ambao hawajawai Kufanya uzinzi walio jitunza naomba tujuane hapa tafadhali
Kizazi cha azumaHongere sana mkuu tupo kwenye kizazi cha uzinzi
Safi sana😊nimepewa bure kwa nini nikibanie? mwisho wa siku ukifukiwa kinaliwa na mchwa