Wanaume na wanawake wenye experience naomba mnijibu hili

Hata ndani ya siku moja tu unaweza kujua.
Kila mtu ana sifa zake za mke/mume anaemtaka. Siku ukikikutana nae na ukagundua vigezo vyako vyote anavyo hivyo mchezo unakuwa umeisha.
 
Hata ndani ya siku moja tu unaweza kujua.
Kila mtu ana sifa zake za mke/mume anaemtaka. Siku ukikikutana nae na ukagundua vigezo vyako vyote anavyo hivyo mchezo unakuwa umeisha.
Kwa hiyo ndani ya huo mwezi mmoja unaweza ukafanya utaratibu wa kutaka
Mpeleka kwenu, na uanze process,?
 
Kwa hiyo ndani ya huo mwezi mmoja unaweza ukafanya utaratibu wa kutaka
Mpeleka kwenu, na uanze process,?
Ndio inawezekana.

Mimi binafsi nilienda kujitambulisha kwao baada ya kufahamiana nae kwa wiki mbili tu, wiki ya tatu nikamleta kwa wazazi wangu na wiki iliyofuata nilienda kujitambulisha kwao. Nikaoa kabisa baada ya miezi mitatu. Hadi sasa nipo nae 10yrs.

Alikuwa muwazi sana kwangu, na sifa zote 5 za mke nimtakae alikuwa nazo. Ikabidi nimchukue jumla.
 
Hivi inawezekana mwanaume akafahamiana na mwanamke ndani ya mwezi mmoja na mwanaume akagundua kwamba amepata mke?

Inawezekana...

Katika mafundisho ya Kikristo, imeandikwa mke mwema mtu hupewa na Bwana...
 
Mapenzi hayana formula kama hesabu. Unaeza kaa na mtu miaka 6 af ukaoa huyo wa mwezi mmoja. Ndoa ni kama jackpot mzeiya, hakuna draw, ni either umekula au umeliwa. So hui mwez inawezekana kabisa.
Pia hawa wanawake ukiwachunguza sana hautakaa uoe, we chagua matatizo unayoeza handle oa pambana na hali yako fullstop.
Mwanaume utateseka mpka unaingia kaburini bora uanze mapema tu. Cha muhimu watoto tu ili usife kama kitunguu.
 
Noted mkuu
 
Hii comment inafunga hii thread.
 
Hongereni sana.
 
Naweza toka na kitu hapa wacha niweke kambi hapa.
 
Mimi nilikaa na kijana wa watu miaka miwili nikaja kuolewa na mtu nilijuana naye ndani ya siku moja..!

'motivesheno spika' tu, hata sina lolote...! πŸ˜‚
Yaan weewe πŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Don't judge a book by its cover

Mda ni ukweli unaotembea uchi
 
Nikimuona tu najua awe na shape akili tutatumia zangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…