Wanaume naomba mnisaidie hapa

Wanaume naomba mnisaidie hapa

Hakupendi huyo, mawasiliano ndo huleta attention ya mapenzi Kama Hadi umtafute mmmhhh, atakuwa na mpango wa kando.
 
Hivi inawezekana ukampenda mtu na usiwasiliane nae?Yaani ikapita siku tatu mpaka week?
Inawezekana mwanamke unaempenda usitake kumjulia hali?
Naombeni tu mnisaidie hili jibu
Mtu anakwambia anakupenda ila ukijikausha usimtafute wewe anaweza asikutafute mpaka week anakucheki tena kuna ukweli hapo?
Mimi nafikiri anayeweza kujaji vizuri ni wewe kwa kutafakari yafuatayo;
1. Inawezekana anakupenda sana ila hayupo tayari kuoa kwa sasa na wewe unataka mambo yaende chap chap
2. Inawezekana anakunda ila anapata shinikizo kwa familia hivyo kupata wakati mgumu (kuendelea na wewe au kukuachana
3. kwni mwanzo alikuwa anawasiliana mara kwa mara na sasa ndio amepunguza? au nitabia yake ya kuwasiliana kwa mapozi? Kama tangu mwanzo alikuwa natabia hiyo hiyo hapo hakuna jipya; nitabia yake ya Uvivu (sio active wa mapenzi)
4. inawezekana hakupendi tena ila anashindwa kukuambia kuwa yaishe
5. usichukulie kirahisi na kuachana na mpenzi wako; fanya utafiti isije kuwa ndio huyo Mungu aliyekupangia
 
Mimi nafikiri anayeweza kujaji vizuri ni wewe kwa kutafakari yafuatayo;
1. Inawezekana anakupenda sana ila hayupo tayari kuoa kwa sasa na wewe unataka mambo yaende chap chap
2. Inawezekana anakunda ila anapata shinikizo kwa familia hivyo kupata wakati mgumu (kuendelea na wewe au kukuachana
3. inawezekana anakupenda ila anatabia ya Uvivu wa mawasiliano; kumbuka sio watu wote wapo active
4. Kwani mwanzo alikuwa anawasiliana mara kwa mara na sasa ndio amepunguza? au nitabia yake ya kuwasiliana kwa mapozi?
5. inawezekana hakupendi tena ila anashindwa kukuambia kuwa yaishe
6. Usichukulie kirahisi ukamuacha mpenzi wako; fanya utafiti isije kuwa ndio huyo uliyepangiwa Mungu

Umenifanya nitafakari
Ni mvivu kuandika hata sms kuandika ni fupi ila kuongea anaweza

Ni sahihi nikimuuliza kulikoni[emoji848]?
 
Waswahili wanasema huyo sio type yako
 
Hivi inawezekana ukampenda mtu na usiwasiliane nae?Yaani ikapita siku tatu mpaka week?
Inawezekana mwanamke unaempenda usitake kumjulia hali?
Naombeni tu mnisaidie hili jibu
Mtu anakwambia anakupenda ila ukijikausha usimtafute wewe anaweza asikutafute mpaka week anakucheki tena kuna ukweli hapo?
Njoo uku akupendi huyo janja ........ karibu mama
 
Umenifanya nitafakari
Ni mvivu kuandika hata sms kuandika ni fupi ila kuongea anaweza

Ni sahihi nikimuuliza kulikoni[emoji848]?
Nahisi huyo atakuwa mwanasaiyanzi au IT
Yap unaweza kumuuliza ila sio kwenye simu; hapo unatakiwa ufanye taiming siku moja mkiwa out kwa Lunch au Dinner na uone mood yake ipo vizuri umuulize tu kwa lugha nyepesi (sio uwe serious kama upo polisi)
 
Siwezi kuchepuka kwa mchepukaji anakaliwa kimya huyo yupo kwenye ignore list[emoji706],siwezi kuwaza hela alafu nimfikirie na yeye kwanini hanitafuti [emoji35]
Kwanini na wewe unawaza hela sana?? inawrza kuwa sababu ya yeye kuku ignore
 
Hii ni kweli kabisa huyo mtu anakupenda. Sio wanaume wote wapo active kwenye communication. As long as anakupenda na ameridhika na ww basi yeye yupo tuliiiiii ana uhakika na ww.

Shida ipo kwako bibi ww, kimuhemuhe, Roho isiyotulia kama pishi la Bisi, Upo nyonyo....?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hivi inawezekana ukampenda mtu na usiwasiliane nae?Yaani ikapita siku tatu mpaka week?
Inawezekana mwanamke unaempenda usitake kumjulia hali?
Naombeni tu mnisaidie hili jibu
Mtu anakwambia anakupenda ila ukijikausha usimtafute wewe anaweza asikutafute mpaka week anakucheki tena kuna ukweli hapo?
Mbona Mambo ya kawaida hayo..dunia inaenda Kasi Sana.
 
Hii shida wanawake ndo mnakua nayo sana... nina msichana wangu mmoja yeye yupo radhi aweke status za uzuni kama ame achwa kuliko kukutumia text
 
Huyo ana mitala, muda asio kutafuta wewe anakuwa anawasiliana na wengine huko,
mpenzi akupendaye hawezi amka na kulala bila kukujulia hali, hapo sizani kama nafasi yako ipo!

Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
 
Hivi inawezekana ukampenda mtu na usiwasiliane nae?Yaani ikapita siku tatu mpaka week?
Inawezekana mwanamke unaempenda usitake kumjulia hali?
Naombeni tu mnisaidie hili jibu
Mtu anakwambia anakupenda ila ukijikausha usimtafute wewe anaweza asikutafute mpaka week anakucheki tena kuna ukweli hapo?
Pole sana!
 
Back
Top Bottom