Wanaume naomba mnisaidie hapa

Wanaume naomba mnisaidie hapa

Hii ni kweli kabisa huyo mtu anakupenda. Sio wanaume wote wapo active kwenye communication. As long as anakupenda na ameridhika na ww basi yeye yupo tuliiiiii ana uhakika na ww.

Shida ipo kwako bibi ww, kimuhemuhe, Roho isiyotulia kama pishi la Bisi, Upo nyonyo....?
Communication ni nguzo ya muhimu sana kwenye mahusiano! Angalau hata kama hupo busy waweza mtext mpenzi wako!

Week moja kavuu seriously? hakuna touch hapo!
 
Hapo hamna kitu.. mwanaume akipenda atafanya juu chini apate muda wa kuwasiliana na mwandani wake..huyo mwanaume hapana.
Sasa huyo akikuweka ndani, akisafiri anaweza kaa mwezi huko bila kupiga simu wala sms kisa upo nyumbani kwake[emoji23]

Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
 
Kiukweli mahusiano ni muhimu sana kwenye relationship though haya justfy kama ndo unapendwa sanaa...mwingine aneza akusalimie vile unataka na asiwe mkweli na anaeza asukusalimie akawa mkweli au muongo its un predictable.Ushauri wangu jaribu kuangalia factors zingine na siyo hiyo tuu ya mawasiliano.For me when someone truly loves you utajua tuu acha hayo mambo ya mawasiliano, outings, money giveaway...na vingine.Mbona mi najuaga kama huyo ni feki huyu ni real.A a man.

You just see it

Mahusiano ni muhimu kwenye relationship? How?
 
Tumeulizwa wanaume we na michepele yako umekurupuka tu huko..

Ila usinichambe..😜🙏
Endelea kujichanganya tu

Bahati yako umeniomba nisikuchambe vinginevyo,,,ungechezea mchambo hevi sana

Huu uvurugaji ni humu ndani tu KENZY wetu😎
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii ni kweli kabisa huyo mtu anakupenda. Sio wanaume wote wapo active kwenye communication. As long as anakupenda na ameridhika na ww basi yeye yupo tuliiiiii ana uhakika na ww.

Shida ipo kwako bibi ww, kimuhemuhe, Roho isiyotulia kama pishi la Bisi, Upo nyonyo....?
 
Endelea kujichanganya tu

Bahati yako umeniomba nisikuchambe vinginevyo,,,ungechezea mchambo hevi sana

Huu uvurugaji ni humu ndani tu KENZY wetu😎
Nakujua haunaga breki..😅
Mwanamke unajicho kama ngamia!..

Niache usichambe..😜🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
 
Hivi inawezekana ukampenda mtu na usiwasiliane naye? Yaani ikapita siku tatu mpaka week? Inawezekana mwanamke unayempenda usitake kumjulia hali?

Naombeni tu mnisaidie hili jibu

Mtu anakwambia anakupenda ila ukijikausha usimtafute wewe anaweza asikutafute mpaka week anakucheki tena kuna ukweli hapo?
Kwani shida iko wapi? Kwa nini utafutwe tuu. Simu si unayo? Si upigeee? Ua uko bankrupt? Kupenda kuna gharama zake. Acha kujiona wewe wa muhimu zaidi. Tena hujajua nini unataka. Go for what you want.
 
Dalili za mwanamke asie kupenda

1. Hana muda wa kuwasiliana na wewe

2. Kuhusu mzigo atakupiga tarehe mpaka utasahau.

3. Kukufokea

Na nyingine mabaharia wataongeza

Ila ukiona hizo dalili jiongeze.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yupo anayewasiliana naye, MTU unayempenda huwa haiwezi pita siku bila mumuwazia akilini,
 
Nakujua haunaga breki..😅
Mwanamke unajicho kama ngamia!..

Niache usichambe..😜🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Breki ninayo ya kutosha na wala sipendagi makuu KENZY labda kama umeanza kuchanganya madesa.

Jicho kama ngamia tena😳😳😳relax kijana utaharibu atmosphere
 
Breki ninayo ya kutosha na wala sipendagi makuu KENZY labda kama umeanza kuchanganya madesa.

Jicho kama ngamia tena😳😳😳relax kijana utaharibu atmosphere
🤣🤣😂😂
Nilikuwa natest zari nione..😜🙏🙏🏃🏃
 
🤣🤣😂😂
Nilikuwa natest zari nione..😜🙏🙏🏃🏃
Ulikuwa unatest nini KENZY .kwa taarifa yako najua kunata na beat..ukija kimiyeyusho na mimi nakuja hivyo hivyo,ukija kibangi bangi na mimi nitakuja kibangi bangi ili unione ni mwenzako😂😂kumbe nahesabu tofauti na udhanivyo.

Hii ni JF....take it easy man
 
Ulikuwa unatest nini KENZY .kwa taarifa yako najua kunata na beat..ukija kimiyeyusho na mimi nakuja hivyo hivyo,ukija kibangi bangi na mimi nitakuja kibangi bangi ili unione ni mwenzako😂😂kumbe nahesabu tofauti na udhanivyo.

Hii ni JF....take it easy man
Kuna kitu nataka nikuambie..
 
Back
Top Bottom