Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,104
- 29,178
Me pia mwanangu anaitwa IvanMwanangu anaitwa Ivan😀 huyu mtoto aliyezaliwa juzi mwezi wa tatu Kwa hiyo haya ni mambo ya familia. Dad to son talk😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Me pia mwanangu anaitwa IvanMwanangu anaitwa Ivan😀 huyu mtoto aliyezaliwa juzi mwezi wa tatu Kwa hiyo haya ni mambo ya familia. Dad to son talk😀
Inatakiwa ajue kabisa tena vizuri hawa wanawake anaowatetea. Hivi anajua kuwa mwanamke akipigwa Kofi hadharani ni kosa kisheria ila akipigwa kosa kwenye 6x6 i mahaba na wanafurahia😀 wanataka wenyeweUsimkorofishe kaka wa watu
ahahaha..mkuu mimi sio msemaji wao, usinielewe vibaya. ukishawagharamia basi jua tuu kuirudishia ndani ikichomoka ni suala la kawaida chunga sana usije pigwa na skuna kwenye mbupu kwa kuzamia vilivyo juu ya uwezo wakohahaha kwa hiyo kama msemaji wao hawa wanawake. Hivi unajua kuwa ikitokaga wanawahi kuoridisha ndani? 😀
Umenipeleka mbali asieee enewei hayaInatakiwa ajue kabisa tena vizuri hawa wanawake anaowatetea. Hivi anajua kuwa mwanamke akipigwa Kofi hadharani ni kosa kisheria ila akipigwa kosa kwenye 6x6 i mahaba na wanafurahia😀 wanataka wenyeweView attachment 2635282
🤣🤣 Amehlo njoo uone mwanao alivyo muhuniahahaha..mkuu mimi sio msemaji wao, usinielewe vibaya. ukishawagharamia basi jua tuu kuirudishia ndani ikichomoka ni suala la kawaida chunga sana usije pigwa na skuna kwenye mbupu kwa kuzamia vilivyo juu ya uwezo wako
Acha bana tupate mteteziWewe ndio mtetezi wao hawa wanawake?
Sina mashaka na utetezi wake ila mjue tu huyu ni simba anasaka utelezi😀 muhuni vibaya mnoAcha bana tupate mtetezi
Wahuni tunawapenda ile kinomaSina mashaka na utetezi wake ila mjue tu huyu ni simba anasaka utelezi😀 muhuni vibaya mno
Aah weee kaa mbali yeyote anayependa kutema tema mate wengine hawapogi mswaki 😀Wahuni tunawapenda ile kinoma
Ahahahah oya dingi acha kunipakaza aiseeSina mashaka na utetezi wake ila mjue tu huyu ni simba anasaka utelezi😀 muhuni vibaya mno
Sana chief.Na kuna namna nyingi tu za kuwaongelea zenye kuwa na manufaaHeshima kwa wanawake ni kitu muhimu sana.
Una mbinu za kijasusi CIA wakasome😀Ahahahah oya dingi acha kunipakaza aisee
AhahahahahahahWahuni tunawapenda ile kinoma
Atleast wawaongelee kwa mazuri yenye kujenga sio hii style ya hapa jukwaani.Mbona wao hawatuongelei kihivyo???Ndo starehe ya weng
Furaha ya weng
Aman ya weng kwaiyo hawawezia acha kuwaongelea