witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Utakuwa umeoa chijijini majuzi hapaHuu uzi nikiufufua kuna tatizo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakuwa umeoa chijijini majuzi hapaHuu uzi nikiufufua kuna tatizo?
Wewe ni muarabu ns bado hujatumika sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]joke¡Kwahiyo sisi wa mjini ni artificial and infertile[emoji3][emoji3]
Huna cha kutushauri? Unatukandia tu
binti wa kijijini ana kaunafuu japo sio wote pia. Mjini ukipata binti bikira miaka 23[emoji848]Utakuwa umeoa chijijini majuzi hapa
maneno ya waliokata tamaaHata vijijini penyewe Hakuna hao wanawake unaowazungumzia maana waliamua kufurikia huko huko mjini baada ya life la vijijini kuwa gumu.
Haya mambo hayanaga fomyula kbsa, unaweza ukaoa mwanamke mzuri wa kijijini ukampeleka mjini na akaharibikia huko.
mwanamke hana kazi yoyote nyumbani, na anatafuta housegirlWanawake wa mjini hawajui kutunza nyumba zao mpaka msaada wa hg.
Hafagii & kupiga deki
Haoshi vyombo
Hafui nguo
Eti unaoa leo kesho unatafuta hg wakati hakuna mtoto wala chochote. Hivi wanaume wanaoburuzwa hv Wana nguvu za kiume kweli?Wanawake wa mjini hawajui kutunza nyumba zao mpaka msaada wa hg.
Hafagii & kupiga deki
Haoshi vyombo
Hafui nguo
Eti unaoa leo kesho unatafuta hg wakati hakuna mtoto wala chochote. Hivi wanaume wanaoburuzwa hv Wana nguvu za kiume kweli?
Tena kijijini ndo kubaya zaidi zaidi....naongea haya kwa uzoefu kwa sababu kila mwaka naenda huko[emoji848]
Hakuna mademu wana njaa kama wa vijijini [emoji134][emoji134]
Yaan mia tano tu anatoa uroda kwenye mikahawa, au pombe za kienyeji anatoa utamu
Hawa wakaka wa mjini sasa ndo full kuwachezea, wanawadanganya ntakuoa nakupeleka dar yy anatoa mbususu...na wanaume wengi wa mjini ni wabovu wa afya, so chain ya mdudu imesambaa kijijini kutokana na tamaa za kijinga kabisa!
Mi ningekuwa mwanaume kamwe siwezi oa kijijini
NB
Huwa wanaume wananishangaza yaan hawajui kuwa mwanamke akiwa hana kazi yuko idle, eti unamuacha nyumbani, anayeshinda anazurula tu yaan huyo ni wa kumuogopa kuliko kitu chochote!
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app