Wanaume, nendeni kijijini mkaoe wadada ambao ni natural na fertile

Wanaume, nendeni kijijini mkaoe wadada ambao ni natural na fertile

Akifika mpe mimba, hajakaa sawa mpe ya pili. Akili inakuja kumkaa sawa tayari ana watoto 4.

Kuna watu wapo kwenye ndoa mwaka wa 7 mtoto wamepata mmoja tu wengine hawajapata. Kisa? Kaka kaoa sister du la mjini.

Mkinipuuza mtanikumbuka
Ila kweli
 
Kuna ukweli mtupu..wadada wa mjini..p2 wanameza kama panadol..siku wakitaka kushika mimba ni mtafutano mara uvimbe..mara pid..mara hormonal imbalance.

#MaendeleoHayanaChama
[emoji23] ni mtafutano[emoji16]
 
Huu Uzi kama utani tu.
Ila uzazi Sasa hivi kwa wanawake ni WA kutafuta kwa tochi.
Vidonge vya uzazi wa mpango vimepoteza Sana kizazi Cha wanawake.
Wengi wadada wa mjini unakuta Ana mtoto 1 alizaa akiwa bado mshamba mshamba.
Alivyozijua p2 ikawa ndio ntolee.
Anatafuta ujauzito kwa tochi.
Familia inaishia kuwa na mtoto mmoja.
 
Kijijini kuna wadada wazuri kwa sura, rangi na shape za kuzaliwa. Halafu hata yale Mambo yetu huchelewa Sana kuyaanza. Na hata ukikutana na mdada 25 yrs anakuwa bado amecheza rounds chache Sana. Huko ndiko wake sahihi wanaweza kupatikana.

Hapa mjini mtoto anaanza kula ndude tangu darasa la 5 akiwa na miaka 12. Anaanzwa na dereva wa school bus halafu konda wa daladala na bodaboda watafuata.

At the age of 20 anapokuwa chuo anaanza kuwa na mapedejee wa mjini. Anapuyanga weee wanam-dump akifikisha 25. Muda huo wote anapata mimba na kuitoa.

Sasa kaka zangu huyu dada ukimuoa unataka raha ama karaha?

Ukioa mdada kama huyu utaanza kuhangaika na tiba mbadala ili apate kuzaa kumbe mwenzako alishatoa mimba zote.

Atakudanganya anasumbuliwa na michango hivyo hana hamu ya tendo la ndoa kumbe mwenzako hamu alizimaliza siku za nyuma.

Wakaka nendeni mkaoe vijijini. Hawa wa mjini mimi kama kungwi nayaona na kuyasikia mengi.

Ni mimi Sexless kungwi la kitaa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa Inabidi nikaweke kambi kule SINGIDA vijijini nijopolee ata kamnyaturu kamoja kabush Afu maisha yaendelee
 
Hao wanaowaharibu wanawake wa mjini ni Akina nani? ( obvioisly ni wanaume wa mjini)
Kuwaharibu wawaharibu hao halafu wawaachie nani?

Pamoja na ukweli wa kilichosemwa , wanawake wa Mjini wana changamoto zake hali kadhalika wanaume wa mjini. Bahati mbaya wanawake ndio wako katika condemned position.
Hapa mjini tunalindana tu hamna asiye na kasoro awe Mtu mume awe Mtu mke.

Hali kadhalika suala la kuwa na K mnato na yenye kilomita chache ni jambo lilisilo na nafasi kubwa sana kwenye ndoa. For as long as yuko sexually avtive. Kwa upande wa pili, suala la kuweza kupata mimba ni suala la majaaliwa so mara zote imesababishwa na kilichosemwa na mtoa mada. Ndoa inajengwa na upendo, uvumilivu, kuelewana. Hayo yakiwepo vingine ni ziada.
Huwa tunasingizia majaaliwa lakini ni 1% ya hao wenye shida.
Yaani mtu ndio naturally Ana shida.
Ila wengi
Wamechoropoa mimba mpaka kizazi hakishiki Tena
Wametumia vidonge vya uzazi wa mpango mpaka homoni zao hazirespond Tena.
Wengine mpaka vizazi vilitolewa kabisa lakini wanataka kuolewa na kuhangaisha vijana wa watu.
 
Ni ukweli mtupu ndugu. Wadada wa mjini tangu hajabalehe starehe yake kuu ni ngono. Unategemea akifikisha miaka 25 huko kwa bibi kunakuwa kumechoka kiasi gani?
Unakuta mfumo wa uzazi umejaa kemikali za kuzuia mimba mpk amepraganya mtiririko wa homoni za kike.

Unakuta blidi inatoka wiki 3 mfululizo halafu ikiacha inakaa mezi kadhaa.

Au tumbo linamkata mpk analazwa hospitalini wakati wa blidi utadhani kanywa sumu ya panya.

Ukiyaona haya ujue umepigwa . Kimbia
 
Kwahiyo sisi wa mjini ni artificial and infertile😀😀
Huna cha kutushauri? Unatukandia tu
 
Unakuta mfumo wa uzazi umejaa kemikali za kuzuia mimba mpk amepraganya mtiririko wa homoni za kike.

Unakuta blidi inatoka wiki 3 mfululizo halafu ikiacha inakaa mezi kadhaa.

Au tumbo linamkata mpk analazwa hospitalini wakati wa blidi utadhani kanywa sumu ya panya.

Ukiyaona haya ujue umepigwa . Kimbia
Ukweli mchungu wa dada wa mjini hasa waliofika vyuoni wengi wao ni tatizo kubwa..mana walipenda sana bata ila mimba hawataki..kifuatacho wanageuka wakemia wa midonge na misindano ya kuzuia mimba ama kuchoropoa.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kwahiyo sisi wa mjini ni artificial and infertile[emoji3][emoji3]
Huna cha kutushauri? Unatukandia tu
Sio wote ila wengi wa wadada wa mjini uzazi wao umekua tatizo sana..mara hormonal imbalance..mara fibroids..mara pid yani vurugu tupu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Sio wote ila wengi wa wadada wa mjini uzazi wao umekua tatizo sana..mara hormonal imbalance..mara fibroids..mara pid yani vurugu tupu.

#MaendeleoHayanaChama
Ni kwasabb ya ngono zembe wanazozianza wakiwa wadogo huku wakizuia mimba kwa midawa pamoja na kuchoropoa mimba. Yaani ni shida!
 
Kijijini kuna wadada wazuri kwa sura, rangi na shape za kuzaliwa. Halafu hata yale Mambo yetu huchelewa Sana kuyaanza. Na hata ukikutana na mdada 25 yrs anakuwa bado amecheza rounds chache Sana. Huko ndiko wake sahihi wanaweza kupatikana.

Hapa mjini mtoto anaanza kula ndude tangu darasa la 5 akiwa na miaka 12. Anaanzwa na dereva wa school bus halafu konda wa daladala na bodaboda watafuata.

At the age of 20 anapokuwa chuo anaanza kuwa na mapedejee wa mjini. Anapuyanga weee wanam-dump akifikisha 25. Muda huo wote anapata mimba na kuitoa.

Sasa kaka zangu huyu dada ukimuoa unataka raha ama karaha?

Ukioa mdada kama huyu utaanza kuhangaika na tiba mbadala ili apate kuzaa kumbe mwenzako alishatoa mimba zote.

Atakudanganya anasumbuliwa na michango hivyo hana hamu ya tendo la ndoa kumbe mwenzako hamu alizimaliza siku za nyuma.

Wakaka nendeni mkaoe vijijini. Hawa wa mjini mimi kama kungwi nayaona na kuyasikia mengi.

Ni mimi Sexless kungwi la kitaa.
Wa mjini washaenda milage sana hata ham ya sex hawana anatega tu bora liennde
 
Sijaoa,ila ni kweli kabisa haya madada ya mjini nayo ni shida tupu
Ukioa haya madada ya mjinj likiwa na mimba ya miezi 3 tu unakuwa ushatembea hospitali zote na maspecialist wa magonjwa wote utawajua
 
Back
Top Bottom