Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu hawa ndiyo wafikishe miaka 30 waseme hawana watoto. Jamani!!!!
Namshangaa mleta mada anazungumzia viijini gani?? kisichana kikisha vunja ungo tu tyr kinatolewa bikra mashambani havijui hata kinga ni nini ni kujiachia hovyo hvyo tu vina ma gonjwa ya zinaa mpka huruma nimekaa sana vijijini kwa shughuli zangu nimejionea utofauti mkubwa wa mjini na vijijini!!Hao wenye ukimwi ..wanangonoka na boda boda tu.ukitaka pata gono..katomb.e hao mademu
Case Closed umeaongea kweli tupu vijijjini ni shida!!Tena kijijini ndo kubaya zaidi zaidi....naongea haya kwa uzoefu kwa sababu kila mwaka naenda huko[emoji848]
Hakuna mademu wana njaa kama wa vijijini [emoji134][emoji134]
Yaan mia tano tu anatoa uroda kwenye mikahawa, au pombe za kienyeji anatoa utamu
Hawa wakaka wa mjini sasa ndo full kuwachezea, wanawadanganya ntakuoa nakupeleka dar yy anatoa mbususu...na wanaume wengi wa mjini ni wabovu wa afya, so chain ya mdudu imesambaa kijijini kutokana na tamaa za kijinga kabisa!
Mi ningekuwa mwanaume kamwe siwezi oa kijijini
NB
Huwa wanaume wananishangaza yaan hawajui kuwa mwanamke akiwa hana kazi yuko idle, eti unamuacha nyumbani, anayeshinda anazurula tu yaan huyo ni kumuogopa kuliko kitu chochote
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
harufu ya mchicha pori?Mbona unasound kiume we kungwi [emoji3]
Yah linachoma kama pasi hasa kwa wanawake waliokulia mjiniKuna watu wanapambana kupingana na mtoa mada,inaonesha ni jinsi gan limewagusa,mkuki moyon.
lol😅😅😅 mimba ni chache sababu wana access ya pesa na hospitali za kuichomoa pia wengine wananunua dawa za kuitoa.Vijiji ninavyo vijua mimi hali ni mbaya sana kulimo Dar. Watoto wa vijijini wanaanza mapenzi mapema. Hivi huwa hausikilizi jinsi wanaharakati wanavyo lia na mimba za utotoni? Dar mimba za utotoni ni chache ukilinganisha na kijijini.
Si mshauri mtu yeyote aende kuoa kijijini.
ParamaweMpitimbi, mwendakulima, lyamba lya mfipa, nyakintonto, iporoto, makwale, gongo, n.k
Kkkkkkk mkuu nimetoka lyazumbi juzi kati hapa uwe na kazi njemaParamawe
Yamekukuta mkuu?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kijijini kuna wadada wazuri kwa sura, rangi na shape za kuzaliwa. Halafu hata yale Mambo yetu huchelewa Sana kuyaanza. Na hata ukikutana na mdada 25 yrs anakuwa bado amecheza rounds chache Sana. Huko ndiko wake sahihi wanaweza kupatikana.
Hapa mjini mtoto anaanza kula ndude tangu darasa la 5 akiwa na miaka 12. Anaanzwa na dereva wa school bus halafu konda wa daladala na bodaboda watafuata.
At the age of 20 anapokuwa chuo anaanza kuwa na mapedejee wa mjini. Anapuyanga weee wanam-dump akifikisha 25. Muda huo wote anapata mimba na kuitoa.
Sasa kaka zangu huyu dada ukimuoa unataka raha ama karaha?
Ukioa mdada kama huyu utaanza kuhangaika na tiba mbadala ili apate kuzaa kumbe mwenzako alishatoa mimba zote.
Atakudanganya anasumbuliwa na michango hivyo hana hamu ya tendo la ndoa kumbe mwenzako hamu alizimaliza siku za nyuma.
Wakaka nendeni mkaoe vijijini. Hawa wa mjini mimi kama kungwi nayaona na kuyasikia mengi.
Ni mimi Sexless kungwi la kitaa.
Ni kwasabb Dar kuna ujanja mwingi na mbinu nyingi za kuzuia na kutoa mimba.Dar mimba za utotoni ni chache ukilinganisha na kijijini.