Wanaume, nendeni kijijini mkaoe wadada ambao ni natural na fertile

Wanaume, nendeni kijijini mkaoe wadada ambao ni natural na fertile

Ndoa ni Zaidi ya ngono Chief kikubwa Oa mtu ambae mnaendeana na Mtasadiana kutekeleza majukumu ili familia isonge mbele mana yote kwa yote Mapenzi hayataleta Chakula Mezani, na hata uoe huyo wa Kijijini ila mwishoni utapiga tu mechi za nje
Kosa kubwa kwa mwanaume ni hili. Usioe mwanamke kwa mategemeo kwamba atakuja kukusaidia kutafuta chakula ama kuendesha maisha. Wanaume wengi wanao oa kwa mtazamo wako kama huu huushia kutujazia kesi za kusuluhisha sisi makungwi.

Oa ukijua unaongeza mzigo wa kulea na kuhudumia.

Sexless kungwi la kitaa.
 
Poleni sana, ila usijumuishe wanawake wote wanaoishi mjini kwenye hizo tabia ulizozisema, that is totally wrong

Tabia ya mtu haibadiliki kwa sababu ya mazingira, unaweza kwenda kijijini ukakuta kuna mabinti worse kabisa, tabia mbaya zote ni za kwao mpaka wakipita barabarani watu wanatema mate, na haps mjini pia kuna wenye tabia hizo lakini kuna mabinti decent ambao wanamaadili na wanajitambua
Proportionally wapi wapo wengi? Kwani tukisema wakurya ni wakali tunamaaisha wote? Tukisema waafrika ni maskini tunamaanisha wote? (Akina Dangote si wapo?).

Kwahiyo tuna maana kwamba kijijini % kubwa wako descent Sana. Hapa mjini only 5% ndiyo descent. Wanaharibiwa na mazingira
 
Sema wengine ni majamvi ya wageni!

Ukienda kichwa kichwa wengine wako kwenye dozi!

Yani wanamtazamo wa kila mgeni katoka mjini ana hela kumbe wengine wabangaizaji tu mjini hata nauli wanachangiwa na ndugu au kukopeshwa.

Wanaulimbukeni mkubwa.

Ukiwa mgeni ni kama kuwa maarufu mjini utawatafuna bure tu.

Wengi walishalala na wengine wako kwa dozi.

Mungu azidi kutuhurumia na tuchukue tahadhari.
 
Tatizo ni Utandawazi na mumomonyoko wa maadili kwenye jamii zetu sio kuishi mjini hata huko Vijijini mambo ni yaleyale!
 
Umenena mkuu kijijin hakupo salama sana ile ke wa kule wameenda round chache.Af pia mchezo wa kuchomoa mimba
 
Mkumbuke na watoto mtakaowazaa mkawalelee huko huko kijijini lasivyo ni artificial and infertile wajao maana wewe ndio baba yao.
 
Saiv vijiji vingi so km zamani ni vya ki digital zaidi tena na uu umeme wetu wa REA (27000) vinaanza kujanjaruka bdo vidogo...tunavinyandua tuu
 
We jamaa ujawahi kufika vijijini

Vijijini binti wa miaka 14 ana mtoto tayari.

Niliendaga jiji flani ambalo mimi naliita kijiji tu.

Mtaa mzima hupati demu asiye na mtoto.Ukigusa vitoto vya 18 unakuta vina wawili sasa huwezi kurudi kwa vitoto vya 14yrs ambavyo vina mtoto mmoja basi unajikuta weekend unaenda kunywa juice maeneo ya chuo ili walau upate angalau used ambazo hazijapitisha mtoto.


Unajua raha ya kutembea na mwanamke mwenye mtoto basi huyo mtoto awe wako otherwise first priority ni vibinti ambavyo havijapitisha mtoto.

Hata mabinti wanajua mwanaume mtu mzima ni deal kuliko hawa vijana wenyewe tunaitwaga wasumbufu basi na sisi vijana tusisahau mwanamke ambaye kigoli ni deal kuliko ambaye amezaa.Hizi Ni general formula za maisha ya mapenzi tu vijana na mabinti msitokwe na mapovu.
 
Kijijini kuna wadada wazuri kwa sura, rangi na shape za kuzaliwa. Halafu hata yale Mambo yetu huchelewa Sana kuyaanza. Na hata ukikutana na mdada 25 yrs anakuwa bado amecheza rounds chache Sana. Huko ndiko wake sahihi wanaweza kupatikana.

Hapa mjini mtoto anaanza kula ndude tangu darasa la 5 akiwa na miaka 12. Anaanzwa na dereva wa school bus halafu konda wa daladala na bodaboda watafuata.

At the age of 20 anapokuwa chuo anaanza kuwa na mapedejee wa mjini. Anapuyanga weee wanam-dump akifikisha 25. Muda huo wote anapata mimba na kuitoa.

Sasa kaka zangu huyu dada ukimuoa unataka raha ama karaha?

Ukioa mdada kama huyu utaanza kuhangaika na tiba mbadala ili apate kuzaa kumbe mwenzako alishatoa mimba zote.

Atakudanganya anasumbuliwa na michango hivyo hana hamu ya tendo la ndoa kumbe mwenzako hamu alizimaliza siku za nyuma.

Wakaka nendeni mkaoe vijijini. Hawa wa mjini mimi kama kungwi nayaona na kuyasikia mengi.

Ni mimi Sexless kungwi la kitaa.
Ungejua huko vijijini jinsi wanavyofukunyuliwa usingetoa ushauri huu.Kupata mke bomba ni kubahatisha.
 
Kijijini kuna wadada wazuri kwa sura, rangi na shape za kuzaliwa. Halafu hata yale Mambo yetu huchelewa Sana kuyaanza. Na hata ukikutana na mdada 25 yrs anakuwa bado amecheza rounds chache Sana. Huko ndiko wake sahihi wanaweza kupatikana.

Hapa mjini mtoto anaanza kula ndude tangu darasa la 5 akiwa na miaka 12. Anaanzwa na dereva wa school bus halafu konda wa daladala na bodaboda watafuata.

At the age of 20 anapokuwa chuo anaanza kuwa na mapedejee wa mjini. Anapuyanga weee wanam-dump akifikisha 25. Muda huo wote anapata mimba na kuitoa.

Sasa kaka zangu huyu dada ukimuoa unataka raha ama karaha?

Ukioa mdada kama huyu utaanza kuhangaika na tiba mbadala ili apate kuzaa kumbe mwenzako alishatoa mimba zote.

Atakudanganya anasumbuliwa na michango hivyo hana hamu ya tendo la ndoa kumbe mwenzako hamu alizimaliza siku za nyuma.

Wakaka nendeni mkaoe vijijini. Hawa wa mjini mimi kama kungwi nayaona na kuyasikia mengi.

Ni mimi Sexless kungwi la kitaa.

Daaah umedanganywa vibaya sana vijijin hali n mbaya watoto wanaanza kuto***a wakiwa na miaka 10 watoto wengi shule za misingi washaanza kuliwa
 
Ungejua huko vijijini jinsi wanavyofukunyuliwa usingetoa ushauri huu.Kupata mke bomba ni kubahatisha.
Lkn mkuu mazingira ya kijijini hayatoi fursa pana kama huku mjini. Kwa vyovyote vile mjini ni zaidi ya vijijini.
 
Daaah umedanganywa vibaya sana vijijin hali n mbaya watoto wanaanza kuto***a wakiwa na miaka 10 watoto wengi shule za misingi washaanza kuliwa
Mmh! Hapana mkuu. Mazingira ya kijijini yanatoa sana ulinzi kwa watoto. Huwezi kulinganisha na mjini
 
Ila tuache utani muda wa kuwowa ukifika chaguo la kwanza ni hukooooo wanakuita bush sijui nanjilinji eh hukohuko
 
Hawa ndo watoto wa mjini wa kiwa Photoshoot ,

Screenshot_20210618-021111.png
 
Back
Top Bottom