Wanaume, nendeni kijijini mkaoe wadada ambao ni natural na fertile

Wanaume, nendeni kijijini mkaoe wadada ambao ni natural na fertile

Kijijini kuna wadada wazuri kwa sura, rangi na shape za kuzaliwa. Halafu hata yale Mambo yetu huchelewa Sana kuyaanza. Na hata ukikutana na mdada 25 yrs anakuwa bado amecheza rounds chache Sana. Huko ndiko wake sahihi wanaweza kupatikana.

Hapa mjini mtoto anaanza kula ndude tangu darasa la 5 akiwa na miaka 12. Anaanzwa na dereva wa school bus halafu konda wa daladala na bodaboda watafuata.

At the age of 20 anapokuwa chuo anaanza kuwa na mapedejee wa mjini. Anapuyanga weee wanam-dump akifikisha 25. Muda huo wote anapata mimba na kuitoa.

Sasa kaka zangu huyu dada ukimuoa unataka raha ama karaha?

Ukioa mdada kama huyu utaanza kuhangaika na tiba mbadala ili apate kuzaa kumbe mwenzako alishatoa mimba zote.

Atakudanganya anasumbuliwa na michango hivyo hana hamu ya tendo la ndoa kumbe mwenzako hamu alizimaliza siku za nyuma. Au unagusa mbele tu mwenzako alishazoea kurukwa ukuta.

Wakaka nendeni mkaoe vijijini. Hawa wa mjini mimi kama kungwi nayaona na kuyasikia mengi.

Ni mimi Sexless kungwi la kitaa.
Wakija wenyewe watakwambia "Mwanamke kujiremba mambo ya Natural waachie wizara ya Mali asili na Utalii"
Wasubiri.....
 
kwa sasa hakuna tofauti ya mjini na kijijini mkuu, % kubwa ya watu wanaowaharibu mapema mabint ni boda boda, vinyozi na walimu na haya makundi yapo pote mjini na vijijini, kwa sasa tofauti ya bint wa mjin na kijijin ni ushamba pekee na sio kutumika.
Tena kijijini ni hatari sana
 
Inabidi utoe ufafanuzi vijiji vya wapi ambako wewe unaona kunafaa. Maana kwa vijiji vya Lindi na Ntwara mambo ni tofauti kabisa, wamekubuhu kama wa mjini tu. Yaani ni pwaaa
 
Focus Yako ikiwa kwenye ku attack wanawake bila sababu, na huku jinsia Yako ikiwa na utata basi members wanatakiwa wakuangalie kwa umakini sana.

I repeat, kungwi my ass. Usifosi tufanane. Hujielewi. When you can have a sound argument rudi hapa and I will gladly have one with you.
Shangazi kama shangazi!
 
Kijijini kuna wadada wazuri kwa sura, rangi na shape za kuzaliwa. Halafu hata yale Mambo yetu huchelewa Sana kuyaanza. Na hata ukikutana na mdada 25 yrs anakuwa bado amecheza rounds chache Sana. Huko ndiko wake sahihi wanaweza kupatikana.

Hapa mjini mtoto anaanza kula ndude tangu darasa la 5 akiwa na miaka 12. Anaanzwa na dereva wa school bus halafu konda wa daladala na bodaboda watafuata.

At the age of 20 anapokuwa chuo anaanza kuwa na mapedejee wa mjini. Anapuyanga weee wanam-dump akifikisha 25. Muda huo wote anapata mimba na kuitoa.

Sasa kaka zangu huyu dada ukimuoa unataka raha ama karaha?

Ukioa mdada kama huyu utaanza kuhangaika na tiba mbadala ili apate kuzaa kumbe mwenzako alishatoa mimba zote.

Atakudanganya anasumbuliwa na michango hivyo hana hamu ya tendo la ndoa kumbe mwenzako hamu alizimaliza siku za nyuma. Au unagusa mbele tu mwenzako alishazoea kurukwa ukuta.

Wakaka nendeni mkaoe vijijini. Hawa wa mjini mimi kama kungwi nayaona na kuyasikia mengi.

Ni mimi Sexless kungwi la kitaa.
Kuna ukweli ndani yake .
Ni kweli asilimia 20 ya wadada wamjini wanazaa ,80 kweli wanashida.
Tofauti ya wadada wa siku hizi wote zeroo tu. Sio wa mjini au kijijini shida ukitaka kuolewa au kuoa mshirikishe Mungu
 
Huko vijijini kwenyewe wadada wanalilia simu za kupangusa kioo (Touch Screen), halafu wakifika mjini wanawazidi hata waliowakuta.

Mfano, kuna mdada ametokea kijiji cha igunga huko, shilole, alivyofika dar alikua house girl ila sasa hivi amekua msanii wa bongo fleva na amewashinda hata aliowakuta mjini kwa kurukaruka.
Hahahaaa.

Mfano hai kabisa
 
Kijijini kuna wadada wazuri kwa sura, rangi na shape za kuzaliwa. Halafu hata yale Mambo yetu huchelewa Sana kuyaanza. Na hata ukikutana na mdada 25 yrs anakuwa bado amecheza rounds chache Sana. Huko ndiko wake sahihi wanaweza kupatikana.

Hapa mjini mtoto anaanza kula ndude tangu darasa la 5 akiwa na miaka 12. Anaanzwa na dereva wa school bus halafu konda wa daladala na bodaboda watafuata.

At the age of 20 anapokuwa chuo anaanza kuwa na mapedejee wa mjini. Anapuyanga weee wanam-dump akifikisha 25. Muda huo wote anapata mimba na kuitoa.

Sasa kaka zangu huyu dada ukimuoa unataka raha ama karaha?

Ukioa mdada kama huyu utaanza kuhangaika na tiba mbadala ili apate kuzaa kumbe mwenzako alishatoa mimba zote.

Atakudanganya anasumbuliwa na michango hivyo hana hamu ya tendo la ndoa kumbe mwenzako hamu alizimaliza siku za nyuma. Au unagusa mbele tu mwenzako alishazoea kurukwa ukuta.

Wakaka nendeni mkaoe vijijini. Hawa wa mjini mimi kama kungwi nayaona na kuyasikia mengi.

Ni mimi Sexless kungwi la kitaa.
Kungwi...
Hivi kwani ili tumueke mdada group la wasiofaa tunaangalia sifa zipi au akiwa ametembea na wanaume wa 5 tayari hafai.. Au kuanzia wanaume wangapi anakuwa hafai tena??
 
Kijijini kuna wadada wazuri kwa sura, rangi na shape za kuzaliwa. Halafu hata yale Mambo yetu huchelewa Sana kuyaanza. Na hata ukikutana na mdada 25 yrs anakuwa bado amecheza rounds chache Sana. Huko ndiko wake sahihi wanaweza kupatikana.

Hapa mjini mtoto anaanza kula ndude tangu darasa la 5 akiwa na miaka 12. Anaanzwa na dereva wa school bus halafu konda wa daladala na bodaboda watafuata.

At the age of 20 anapokuwa chuo anaanza kuwa na mapedejee wa mjini. Anapuyanga weee wanam-dump akifikisha 25. Muda huo wote anapata mimba na kuitoa.

Sasa kaka zangu huyu dada ukimuoa unataka raha ama karaha?

Ukioa mdada kama huyu utaanza kuhangaika na tiba mbadala ili apate kuzaa kumbe mwenzako alishatoa mimba zote.

Atakudanganya anasumbuliwa na michango hivyo hana hamu ya tendo la ndoa kumbe mwenzako hamu alizimaliza siku za nyuma. Au unagusa mbele tu mwenzako alishazoea kurukwa ukuta.

Wakaka nendeni mkaoe vijijini. Hawa wa mjini mimi kama kungwi nayaona na kuyasikia mengi.

Ni mimi Sexless kungwi la kitaa.
Umeolewa ?

Naona umeandika vya maana sana.
 
Huko vijijini kwenyewe wadada wanalilia simu za kupangusa kioo (Touch Screen), halafu wakifika mjini wanawazidi hata waliowakuta.

Mfano, kuna mdada ametokea kijiji cha igunga huko, shilole, alivyofika dar alikua house girl ila sasa hivi amekua msanii wa bongo fleva na amewashinda hata aliowakuta mjini kwa kurukaruka.
sasa huyo si ashatoka kijijini
 
Ina mana hapa kama ni gari unazungumzia itakuwa na millage kubwa,kama ni IST unakuta imetembea km 210,000 na kuendelea...
 
Mbona unasound kiume we kungwi
emoji3.png
Umeshtuka ee,yaan live
 
Back
Top Bottom