Wanaume, nendeni kijijini mkaoe wadada ambao ni natural na fertile

Kwahiyo sisi wa mjini ni artificial and infertile[emoji3][emoji3]
Huna cha kutushauri? Unatukandia tu
Wewe ni muarabu ns bado hujatumika sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]joke¡
 
Wanawake wa mjini hawajui kutunza nyumba zao mpaka msaada wa hg.
Hafagii & kupiga deki
Haoshi vyombo
Hafui nguo
 
Hata vijijini penyewe Hakuna hao wanawake unaowazungumzia maana waliamua kufurikia huko huko mjini baada ya life la vijijini kuwa gumu.

Haya mambo hayanaga fomyula kbsa, unaweza ukaoa mwanamke mzuri wa kijijini ukampeleka mjini na akaharibikia huko.
 
Hata vijijini penyewe Hakuna hao wanawake unaowazungumzia maana waliamua kufurikia huko huko mjini baada ya life la vijijini kuwa gumu.

Haya mambo hayanaga fomyula kbsa, unaweza ukaoa mwanamke mzuri wa kijijini ukampeleka mjini na akaharibikia huko.
maneno ya waliokata tamaa
 
Wanawake wa mjini hawajui kutunza nyumba zao mpaka msaada wa hg.
Hafagii & kupiga deki
Haoshi vyombo
Hafui nguo
Eti unaoa leo kesho unatafuta hg wakati hakuna mtoto wala chochote. Hivi wanaume wanaoburuzwa hv Wana nguvu za kiume kweli?
 

Kuna kitu nahitaji kujufunza kutoka kwako sijui utaweza kunisaidia maana mimi ni muhanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…