Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
CHiziiii marifaankajua naongea na mtu mwenye akili timamu kumbe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CHiziiii marifaankajua naongea na mtu mwenye akili timamu kumbe
Mbona Mungu alishatoa huu muongozo kitambo sana ni ubishi tu wa binaadamu na akili za kike kwa baadhi ya wanaume ndio wanatetea mke mmoja.Suluhisho la haraka ni kila mwanaume aoe mke zaidi ya mmoja kihalali kabisa.
Ulivyotaja minyama nikawaza hiyo ya kwenye avatar yakoNyiee acheni uongoooo! Mnajipakulia minyama tu lol!
Waambie hao wifi, wao ndio vinara wa tabia za hovyo..!! Wanawake tunabadilika kutokana na beat lao.Tunahitajiana wote, hata mwanaume bila mke si kitu.
Halafu sielewi mnavyosema mke ana pesa anamtukana mumewe, bila sababu? Wanaume ndio waasisi WA manyanyaso wakiwa na pesa, mke hufanya tu Yale aliyofunzwa na mumewe
Mwanamke hana dini wala tabia.....anajifunza kutoka Kwa mume.
Kwani kope kitu gani bhana chukua meseji hiyo, kama ww ni feminist lazima jiwe likupate hilo.Mpuuzi tu. Kwanza mwanamke kubandika kope ni utaahira.
Shangazi atakuwa kapata mjomba mpya so anamtengeneza ili mjomba ajae kwenye mfumo aseme hapa nimepata
Safi,ukiona mwanamke amekuwa mjeuri ni matokeo ya treatment za mumeweTunahitajiana wote, hata mwanaume bila mke si kitu.
Halafu sielewi mnavyosema mke ana pesa anamtukana mumewe, bila sababu? Wanaume ndio waasisi WA manyanyaso wakiwa na pesa, mke hufanya tu Yale aliyofunzwa na mumewe
Mwanamke hana dini wala tabia.....anajifunza kutoka Kwa mume.
Eeeh anatengeneza mazingira alipiwe watoto school feesanamchuuza mjomba! si ndiyo?
Mkuu hao ni viumbe hatari sana kwenye hii dunia.kweli kabisa nitakuja na mkasa wangu humu siku moja hawa viumbe sijui wapoje wenzetu so selfish alafu utaambiwa wewe mwanaume ndio selfishhh
Kwa kuteteana mpo vizuri tatizo mnapata wanaume wapumbavu.Kabla hajapata Urais alivyokuwa anamuolea asubuhi na jioni mlikuwepo?
Anachotwa mtu hapo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shangazi atakuwa kapata mjomba mpya so anamtengeneza ili mjomba ajae kwenye mfumo aseme hapa nimepata
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tukiwa hatuna pesa mnatupaga stress sana, ndo tukizipata tunamwaga stress[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yani niwe na pesa afu toto la mtu linilaze macho[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sa nini maana ya kuwa na pesa[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wote hawa walioko uraiani? Hauko seriousImagine, nafikiria kuoa..ila sioni mke
Wacha hivi hivi
Mkuu hebu acha kufikiria basi huu ujinga enselea na maisha yakoImagine, nafikiria kuoa..ila sioni mke
Wacha hivi hivi
Kwahiyo wewe unazani hao maboss au viongozi wake zao Wana Raha sana na waume zao eti? Au kwasababu mambo Yao hayawekwi adharani, mbona hao baba zako kabla yakugombea vyeo vikubwa walienda kubembeleza wake zao warudiane maana hawezi pewa cheo kikubwa bila kuwa na mke wa ndoa, kwanini wasingetambulisha michepuko yao kuwa ndiye mke! Acha hizo sema wanawake niwavumilivu sana kuliko wanawake, unakuta kiongozi anawanawake kila mji, unazani mkewe anajisikiaje! Hivi mfano mke wa Rais aanze kupayuka Rais anavimada vingi sijui nini unazani ataekeweka na jamii? Huwa wanajikaza tu na kuwatunzia heshima.Wanawake nyie ni wabinafsi mna roho mbaya mna choyo ndio maana mwanaume anaweza kulea na kusomesha mtoto wa kambo ila mwanamke anaweza akampa sumu mtoto wa kambo maraisi watanzania waliopita wote ilikuwa hawawatengi wake zao na walikuwa wanajulikana na kuwajali ila raisi toka awe mwanamke ubinafsi unaofanywa mungu ndio shahidi unaweza ukadhani hana mume halafu wakipata vinafasi wanakuwa na kibri kama yule mbunge wa babati alimuwekea mme wake bastola baada ya kumsaidia kupata ubunge na yule mbunge wa kimara baada ya kuingia mjengoni akadai talaka kiufupi wanawake ni selfish creatures.
Wanaume wengi hutaka mke mwema ili hali yeye si mme mwema, sasa huwa wanataka nani aumie kubeba mzigo wa misumari! Ndiyo maana mwanamke anaamua wagawane misumari waumie wote.Sidhani kama ni bahati, maana wanaume wengi si wema. Ukitaka kupata mwanamke mwema , anza kuwa mwema, na weka vigezo mapema sana akilini mwako. Utaoa wa kufanana na wewe .