Wanaume, ni kitu gani unavutiwa nacho unapokutana na mwanamke kwa mara ya kwanza?

Huwa nachanganyikiwa na mwanamke kwa mambo mawili:-

1.Nyewele za Asili
2.Mguu (Mguu wa Bia).


Hizi sababu mbili zimebeba mambo yote kwa mwanamke,huu ndiyo huwa ugonjwa wangu sugu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…