Wanaume, ni kitu gani unavutiwa nacho unapokutana na mwanamke kwa mara ya kwanza?

Wanaume, ni kitu gani unavutiwa nacho unapokutana na mwanamke kwa mara ya kwanza?

Mwanamke (mrembo) mwenye Sauti nzito Fulani hv ya kikekike, I mean bezi Fulani akiongea dah huyo ht akaunt namba yng ya benki nampa side[emoji23]
 
Awe na Tako laini tuziwa tudogo
Awe mrefu kama mnara wa Voda
 
Back
Top Bottom