Wanaume ni kwamba hamtakagi kupendwa ama ni nini?

Wanaume ni kwamba hamtakagi kupendwa ama ni nini?

Miss_Mariaah

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2022
Posts
2,176
Reaction score
4,979
Unakuta Mwanaume mwanzoni mwa ndoa au mahusiano anakua na juhudi sana na wewe utapigiwa sana message kwa sana mawasiliano asubuhi mchana jioni attention kwa sana the moment tu mwanamke ameanza tu ku reciprocate the love ni kama anakua ameharibu.

Mwanaume huyo anaanza kurelax juhudi zinapungua message zinapungua calls zinapungua zile mbwembwe alizokua anafanya anaacha kwanini inakua Ivo Wanaume nikwamba hataki mpendwe ama maana mkishapendwa na mkajua mnarudi nyuma. Tufanyaje wanawake tushaurini🥺🥺
 
Unakuta mwanaume mwanzon mwa ndoa au mahusiano anakua Na juhudi Sana Na wewe utapigiwa Sana message Kwa Sana mawasiliano asubuhi mchana jioni attention Kwa Sana ......the moment tu mwanamke ameanza tu Ku reciprocate the love Ni kama anakua ameharibu....mwanaume huyo anaanza kurelax juhudi zinapungua message zinapungua calls zinapungua zile mbwembwe alizokua anafanya anaacha .....kwanini inakua Ivo wanaume nikwamba hataki mpendwe ama maana mkishapendwa Na mkajua mnarudi nyuma....tufanyaje wanawake tushaurini🥺🥺
Mna act kutupenda
 
Unakuta mwanaume mwanzon mwa ndoa au mahusiano anakua Na juhudi Sana Na wewe utapigiwa Sana message Kwa Sana mawasiliano asubuhi mchana jioni attention Kwa Sana ......the moment tu mwanamke ameanza tu Ku reciprocate the love Ni kama anakua ameharibu....mwanaume huyo anaanza kurelax juhudi zinapungua message zinapungua calls zinapungua zile mbwembwe alizokua anafanya anaacha .....kwanini inakua Ivo wanaume nikwamba hataki mpendwe ama maana mkishapendwa Na mkajua mnarudi nyuma....tufanyaje wanawake tushaurini🥺🥺
Ukisha mnasa samaki nn kinaendelea? Utaendelea kumuwekea chambo?
 
Unakuta mwanaume mwanzon mwa ndoa au mahusiano anakua Na juhudi Sana Na wewe utapigiwa Sana message Kwa Sana mawasiliano asubuhi mchana jioni attention Kwa Sana ......the moment tu mwanamke ameanza tu Ku reciprocate the love Ni kama anakua ameharibu....mwanaume huyo anaanza kurelax juhudi zinapungua message zinapungua calls zinapungua zile mbwembwe alizokua anafanya anaacha .....kwanini inakua Ivo wanaume nikwamba hataki mpendwe ama maana mkishapendwa Na mkajua mnarudi nyuma....tufanyaje wanawake tushaurini🥺🥺
unateseka ukiwa wapi?
 
Unakuta mwanaume mwanzon mwa ndoa au mahusiano anakua Na juhudi Sana Na wewe utapigiwa Sana message Kwa Sana mawasiliano asubuhi mchana jioni attention Kwa Sana ......the moment tu mwanamke ameanza tu Ku reciprocate the love Ni kama anakua ameharibu....mwanaume huyo anaanza kurelax juhudi zinapungua message zinapungua calls zinapungua zile mbwembwe alizokua anafanya anaacha .....kwanini inakua Ivo wanaume nikwamba hataki mpendwe ama maana mkishapendwa Na mkajua mnarudi nyuma....tufanyaje wanawake tushaurini🥺🥺
nilikuwa na mpenzi mpenzi mpenziiii mapenziiiiii.
Akanifanyia ushenzi ushenzi ushenziii mapenziiii.
Nikayachukia mapenzi mapenzi..!
Fukuza kunguru kunguru kunguru "aaah aahh"
 
Hata nakupenda sana sio lazima ujue kuwa nimezama na nifanye vitu vya wavulana waliobalehe,mwanzo ni ili utambue kuwa nakupenda na ndo maana nimekuoa,
Ila huku baadae mapenzi yapo ila huwezi kuyaona kama awali
Ndo mana ukiona mama kafumaniwa mara chache sana wakaachwa hai? Ila hayo mapenzi nyie hamna😀😀
 
Back
Top Bottom