Wanaume ni wa ovyo sana

Wanaume ni wa ovyo sana

Mwanamke anakuheshimu, anakuwa na msimamo pamoja na vishawishi anavyokutana navyo ila sasa mume aliyenaye ni pasua kichwa.

Jana usiku mwanaume kaondoka kapata dharula kasahau simu ya smart, kwa bahati mbaya kasahau kulock si kawaida yake, maana kakurupushwa na kaondoka na simu ndogo kaacha smart.

Nilikuwa nimekua kiakili kwamba sitashika simu ya mwanaume hata iweje na sijui ni shetani gani kanishawishi nikaishika.

Nikaenda Messenger ya FB nikakutana na chat zaidi ya 200 ya wanawake, wengine akiwatongoza, wengine "Mambo mrembo wangu" pande zipi? Hizi ndio text kwa kila mwanamke kwa kila mwanzoni mwa chating.

Nikagundua friendlist kati ya 4552 alionao FB wanaume ni 20 tu, hivo hivo kwenye Instagram, amewafollow wanawake kuliko wanaume na inbox huko sms zile zile.

Na cha ajabu ni kwamba katika kufuatilia kila wakichati na hao wanawake anawaomba namba za Whatsapp au anawatumia namba, na nilichogundua kupitia mitandao ya kijamii anatembea na wanawake zaidi ya 15 wawili wapo wilaya ya jirani, wanawake zaidi ya 2000 wanaitana my.

Wanawake 57 wanalalamika kuwa alitembea nao mara moja au mbili na kuachana nao bila sababu.

Anatembea au alitembea na wanawake wawili kutoka nchi ya Botswana kulingana na chating zao.

Nikataka niende WhatsApp, mikono ikatetemeka nikaacha.

Loh! Unamuona mwanaume yupo bize mtandaoni, ukimuuliza mbona bize sana, anakujibu biashara, mara betting, kumbe michepuko!

Sina hamu.
Wewe dada hebu tulia, wewe ndiyo umeolewa, inamaana amekuchagua na amekuona ni bora kuliko wanawake wote duniani ndiyo maana akafunga pingu za maisha na wewe . Wewe ni wa thamani kwake ndiyo maana
wewe ni mke wake, kwahiyo hao uliosoma msg zao wanapoteza muda wao tu.
Tulia endelea kumheshimu mumeo kama hujaona hizo msg, Tena mpe yote kwa mfulululizo kwa muda wa wiki nzima.

Mwanamke mpumbavu ndiye anayevunja ndoa yake Tena kwa yake mwenyewe.

MUNGU akutunze.

Husimuone kuwa ni mwanaume wa hovyo futa huo usemi
 
Wewe ulijuaje Kama wametukanana Kama huendekezi mawasiliano na hao wanawake, tena inaonesha humuheshimu mkeo hata kidogo.....Yani hao wanawake wa nje umewapa umuhimu kuliko mkeo.
Kwa kweli Hana heshima kwa mkewe na ni dharau ya Hali ya juu.Yaani hajui mke ni Nani na Ana umuhimu gani kwake. Yeye anathamini michepuko yake.Yaani mwanaume Kama huyu hawezi kupata mke kwa Dharau zake kiasi hiki.
 
M
Niliona chattings zote na bd mwanamke alibisha kwamba siyo yy. Kesi ilikuwa nzito hii mpaka serikali ya mtaa tulifika
Kesi ipi nzito hapa???Hivi wewe unaona ni sahihi kuthamini michepuko kuliko mkeo wa ndani Tena uliyegharamika kumtolea mahari????Nadhani hata serikali za mitaa umeacha gumzo.JIREKEBISHE,UTAKOSA MKE.AU UNA JINI ???
 
Acheni kushika simu za watu wenu, unafunga ndoa ya millioni 20 unaivunja Kwa sms ya shs 500, hivi utakuwa na akili??? Mm hata mke wangu tuliachana Kwa style hii. Sema alinifuma na wawili tu mmoja alikuwa x wangu wa pili ndo nilikuwa namzengea ila alikuwa nje ya nchi na hatukywahi kuonana! Simu ni nzuri ila balaa lake ni kubwa chupuchupu mwanamke animwage damu nikasema Cha kufia nn ugali mtamu mama Rudi kwenu mpaka Leo ananitumia ujumbe ila nilishamove on Nina miezi miwili nimeachana nae nataka nikamuoe huyo wa nje ya nchi aliyepanbana na huyu mke wangu! Wanawake acheni kujifanya usalama wa taifa Kwa waume zenu tunawapenda sana hata kama tunachepuka!
[/Q
Sifa za kijinga.hata huyo utakayemuoa utamuacha tu.una laana wewe sio bureee
 
huyo mwamba ni muaminifu sana. Kati ya wanawake 4000 katembea nao 57tu.Huu ni uadilifu wa kiwango cha juu kabisa. Ukimuacha huyo ukadondokea kwangu utajinyonga Bure.
 
Mwanamke anakuheshimu, anakuwa na msimamo pamoja na vishawishi anavyokutana navyo ila sasa mume aliyenaye ni pasua kichwa.

Jana usiku mwanaume kaondoka kapata dharula kasahau simu ya smart, kwa bahati mbaya kasahau kulock si kawaida yake, maana kakurupushwa na kaondoka na simu ndogo kaacha smart.

Nilikuwa nimekua kiakili kwamba sitashika simu ya mwanaume hata iweje na sijui ni shetani gani kanishawishi nikaishika.

Nikaenda Messenger ya FB nikakutana na chat zaidi ya 200 ya wanawake, wengine akiwatongoza, wengine "Mambo mrembo wangu" pande zipi? Hizi ndio text kwa kila mwanamke kwa kila mwanzoni mwa chating.

Nikagundua friendlist kati ya 4552 alionao FB wanaume ni 20 tu, hivo hivo kwenye Instagram, amewafollow wanawake kuliko wanaume na inbox huko sms zile zile.

Na cha ajabu ni kwamba katika kufuatilia kila wakichati na hao wanawake anawaomba namba za Whatsapp au anawatumia namba, na nilichogundua kupitia mitandao ya kijamii anatembea na wanawake zaidi ya 15 wawili wapo wilaya ya jirani, wanawake zaidi ya 2000 wanaitana my.

Wanawake 57 wanalalamika kuwa alitembea nao mara moja au mbili na kuachana nao bila sababu.

Anatembea au alitembea na wanawake wawili kutoka nchi ya Botswana kulingana na chating zao.

Nikataka niende WhatsApp, mikono ikatetemeka nikaacha.

Loh! Unamuona mwanaume yupo bize mtandaoni, ukimuuliza mbona bize sana, anakujibu biashara, mara betting, kumbe michepuko!

Sina hamu.
Umeileta huku sisi tufanyaje?
 
Hupati unachotaka hapo nyumbani?

Kuna siku umelala njaaa?

Amewahi kutongoza au kufanya hayo mbele ya macho yako?

Kuna shida gani nyingine ambayo hasa wewe imekusibu mpka uone hayo uloyaona n magumu?

Ukipewa Nafasi Uchague, Uwe mmoja kati ya hao side chick Kisha Mmoja kati ya hao side chick awe ndio Maza house kama ulivyo wewe, Utachagua kipi?

Sikia mama, hebu andaa thread ya mume halipi ada hatoi hela ya matumizi lakini umegundua ana wanawake FB,whatsapp anawatumia hela, Hapo nitaelewa Uzi wako.

ila haya malalamiko hapa,hujayaanza wewe Hata Mke wangu nae analalamika kama wewe...
Ubarikiwe sana mkuu. Asipoelewa hapa basi huyu mwanamke ni shetani.
 
Saaana.Wanaume asilimia kubwa Hawa Wakristo ni wahuni Sana.Utakuta pesa Hana,Mali Hana,busara na hekima Hana,heshima pia Hana,na uhuni juuu.
Huyo atakuwa sio mtu anaekosa hivyo vitu!
 
Hii chai nzuri sana kushushia na futari. Yaan ulihesabuje hao wanaume ukagundua wapo 20 tu? Ulitumia muda gan kupekua hiyo simu. Nb yule mwamba wa kigoma anakuita tena
 
Mwanamke anakuheshimu, anakuwa na msimamo pamoja na vishawishi anavyokutana navyo ila sasa mume aliyenaye ni pasua kichwa.

Jana usiku mwanaume kaondoka kapata dharula kasahau simu ya smart, kwa bahati mbaya kasahau kulock si kawaida yake, maana kakurupushwa na kaondoka na simu ndogo kaacha smart.

Nilikuwa nimekua kiakili kwamba sitashika simu ya mwanaume hata iweje na sijui ni shetani gani kanishawishi nikaishika.

Nikaenda Messenger ya FB nikakutana na chat zaidi ya 200 ya wanawake, wengine akiwatongoza, wengine "Mambo mrembo wangu" pande zipi? Hizi ndio text kwa kila mwanamke kwa kila mwanzoni mwa chating.

Nikagundua friendlist kati ya 4552 alionao FB wanaume ni 20 tu, hivo hivo kwenye Instagram, amewafollow wanawake kuliko wanaume na inbox huko sms zile zile.

Na cha ajabu ni kwamba katika kufuatilia kila wakichati na hao wanawake anawaomba namba za Whatsapp au anawatumia namba, na nilichogundua kupitia mitandao ya kijamii anatembea na wanawake zaidi ya 15 wawili wapo wilaya ya jirani, wanawake zaidi ya 2000 wanaitana my.

Wanawake 57 wanalalamika kuwa alitembea nao mara moja au mbili na kuachana nao bila sababu.

Anatembea au alitembea na wanawake wawili kutoka nchi ya Botswana kulingana na chating zao.

Nikataka niende WhatsApp, mikono ikatetemeka nikaacha.

Loh! Unamuona mwanaume yupo bize mtandaoni, ukimuuliza mbona bize sana, anakujibu biashara, mara betting, kumbe michepuko!

Sina hamu.
Jambo la kushukur hafukui mitaro ....wala Hawali mashoga wa kiume ....note:huo ndo uanaume
 
Hata kama,je Kati ya hao woooote hajapata hata mmoja basi atulie naye angalau awe na mchepuko mmoja,sasa yeye katongoza wanawake wote mitandaoni ,huyu ni binadamu kweli?
Ni ushamba tu, kutokujitambua na kuwa na hofu ya mungu
 
Mwanamke anakuheshimu, anakuwa na msimamo pamoja na vishawishi anavyokutana navyo ila sasa mume aliyenaye ni pasua kichwa.

Jana usiku mwanaume kaondoka kapata dharula kasahau simu ya smart, kwa bahati mbaya kasahau kulock si kawaida yake, maana kakurupushwa na kaondoka na simu ndogo kaacha smart.

Nilikuwa nimekua kiakili kwamba sitashika simu ya mwanaume hata iweje na sijui ni shetani gani kanishawishi nikaishika.

Nikaenda Messenger ya FB nikakutana na chat zaidi ya 200 ya wanawake, wengine akiwatongoza, wengine "Mambo mrembo wangu" pande zipi? Hizi ndio text kwa kila mwanamke kwa kila mwanzoni mwa chating.

Nikagundua friendlist kati ya 4552 alionao FB wanaume ni 20 tu, hivo hivo kwenye Instagram, amewafollow wanawake kuliko wanaume na inbox huko sms zile zile.

Na cha ajabu ni kwamba katika kufuatilia kila wakichati na hao wanawake anawaomba namba za Whatsapp au anawatumia namba, na nilichogundua kupitia mitandao ya kijamii anatembea na wanawake zaidi ya 15 wawili wapo wilaya ya jirani, wanawake zaidi ya 2000 wanaitana my.

Wanawake 57 wanalalamika kuwa alitembea nao mara moja au mbili na kuachana nao bila sababu.

Anatembea au alitembea na wanawake wawili kutoka nchi ya Botswana kulingana na chating zao.

Nikataka niende WhatsApp, mikono ikatetemeka nikaacha.

Loh! Unamuona mwanaume yupo bize mtandaoni, ukimuuliza mbona bize sana, anakujibu biashara, mara betting, kumbe michepuko!

Sina hamu.
Poleh!
 
Mwenye kosa ni wewe, kwanini umeingilia privacy ya mtu, ujue akijua na akaamua kukushtaki atakufunga.
Kuolewa na huyo jamaa haimaanishi una uhuru wa kuingilia privacy yake.
Ushauri wangu: Muombe msamaha huyo mshikaji, na Mungu wako kwa hilo kosa, na usirudie tena.

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
kunya anye kuku eeh...eti muombe msamaha[emoji3][emoji16][emoji23] yaani unacheat na wanawake zaidi ya 10 alafu nikuombe msamaha,, kama hakuna mwanaume asie kitombi basi sitaolewa mm.
 
Back
Top Bottom