Kama sisi wanaume ni wadudu, basi mimi ni mende that manziAliesema fear men hakukosea, aisee wanaume ni wadudu siwapendi nawachukiaa..
limtu linakukuta zako na furaha linakufanya unafall alafu linaleta mambo ya kijinga 🥲
anyway, ladies take time to fear men, hakikisha una fear men
na nyie wanaume huwa mnajiskiaje kumuumiza mtu kihisia ?
Usilipe kisasi mkuu,ni dhambiMimi niliumizwa nikipata nafasi nami naumiza
[emoji57][emoji57]Safi sana mwenetu wa kataa ndoa katekeleza sera zetu kwa ufanisi mkubwa....nitoe rai kwa wanachama wote mtembezee mileage za kutosha akinogewa piga chini feedback ataleta humu
KWANZA KABISA MDUDU WEWE MWENYEWE....Aliesema fear men hakukosea, aisee wanaume ni wadudu siwapendi nawachukiaa..
limtu linakukuta zako na furaha linakufanya unafall alafu linaleta mambo ya kijinga 🥲
anyway, ladies take time to fear men, hakikisha una fear men
na nyie wanaume huwa mnajiskiaje kumuumiza mtu kihisia ?
Waambie nini cha kufanya ili waachane na wadudu for good Dr Mari🤣🤣Poleni nyote mtesekao na wadudu [emoji23]
Case closed 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nn shida mwanawane[emoji57][emoji57]
nasema hivi mwanamke ukipata nafasi ya kumpiga tukio mwanaume mpige mpk mama ake mzazi tumbo la uzazi litikisikeKWANZA KABISA MDUDU WEWE MWENYEWE....
PILI KWANI NA NYIE HAMUUMIZI WANAUME KIHISIA?????
NIKUPE MFANO MMOJA...JE UNAJUA IRENE ALICHOMFANYIA NDIKUMANA????
mbwa kuna muda ana adabuKumbe wameshabadilisha siyo mbwa Tena Bali Ni wadudu🤣
angekuepoIna maana hata baba yako mzazi ni mdudu.. ??
bora ingekua ameniacha ila nimemuacha mimi kwa tukio alilofanya bora angesema
bora mende kuliko kiwaviKama sisi wanaume ni wadudu, basi mimi ni mende that manzi
kimeumana kwlthat manzi Pole sana, sema kimeumana!! 😄
Unampaje mtu moyo wako au wewe zombie🤣🤣🤣unaishije bila moyo??Mbona hamkusema mapema sasa? Maana mimi nimeshampa moyo mtoto wa mtu mwenye hicho kiungo 🤣🤣🙈
Ukishasikia "wanaume ni..." "Wanawake ni..." "Watanzania ni..." "Wazungu ni...", ukiondoa ile kauli ya foundational definition kama "Watanzania ni watu wa nchi ya Tanzania", kingine chochote hapo ni overgeneralization.Aliesema fear men hakukosea, aisee wanaume ni wadudu siwapendi nawachukiaa..
limtu linakukuta zako na furaha linakufanya unafall alafu linaleta mambo ya kijinga 🥲
anyway, ladies take time to fear men, hakikisha una fear men
na nyie wanaume huwa mnajiskiaje kumuumiza mtu kihisia ?
kumbe siko peke angu ntakae kuwa monsterYaan wewe ndio Mimi niliumizwa jamani...wewe afisaa wa jeshi ulie kuja kozi Monduli ukaniumiza jua umesababisha niwaumize wanaume wenzio...hususan wanajeshi wenzio