Wanaume ni wadudu

Usikute hapo mwanzo ulikuwa na nyodo za kishenzi sana kwa mwana, mwisho wa siku mchizi kamwagia ndani akaingia kizani.
hata sikumfanyia nyodo i was very cool and humble from the beginning alichokosea ni kutokuniambia kuwa alikuj kwangu for healing then alivopona akamifanya nifall then boom 💥 machosi 💔
 
sawa ndo uje unitukane dm 🙄
 
Tangu Yule mwanamke aniumize. Aisee. Nikaomba Mola aniondolee roho ya huruma kwa mwanamke.

Ukweli ninajua kuwaumiza tena sio sana yaan hadi naambiwa hivi ni wewe uliyenitongoza au mwingine?

Aisee. Hicho kikombe ukikinywea lazima roho ya uangamizi
 
Tangu Yule mwanamke aniumize. Aisee. Nikaomba Mola aniondolee roho ya huruma kwa mwanamke.

Ukweli ninajua kuwaumiza tena sio sana yaan hadi naambiwa hivi ni wewe uliyenitongoza au mwingine?

Aisee. Hicho kikombe ukikinywea lazima roho ya uangamizi

imagine mtu anakwambia mi sio kama wale kumbe ye ndo CEO wa wale aaah meen[emoji1316][emoji1316]
 
Wanaume ni vitimoto (nguruwe)😂😂😂😂😂😂
 
Hatari Mkuu, yaani ndiyo wanasemaga "Baniani mbaya Kiatu chake dawa"
 
Ushaliwa na kuachwa, pole ukipata mboo mpya utasahau
 
Tatizo wakiliwa mara moja wanataka ndoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…