that manzi
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 385
- 1,246
- Thread starter
- #201
hata sikumfanyia nyodo i was very cool and humble from the beginning alichokosea ni kutokuniambia kuwa alikuj kwangu for healing then alivopona akamifanya nifall then boom 💥 machosi 💔Usikute hapo mwanzo ulikuwa na nyodo za kishenzi sana kwa mwana, mwisho wa siku mchizi kamwagia ndani akaingia kizani.