Wanaume ni wadudu

Wanaume ni wadudu

Usikute hapo mwanzo ulikuwa na nyodo za kishenzi sana kwa mwana, mwisho wa siku mchizi kamwagia ndani akaingia kizani.
hata sikumfanyia nyodo i was very cool and humble from the beginning alichokosea ni kutokuniambia kuwa alikuj kwangu for healing then alivopona akamifanya nifall then boom 💥 machosi 💔
 
Na wewe kenge unajisikiaje kumuumiza mwanaume kihisia??.....mapenzi Ni mchezo Kuna kunyoa na kunyolewa Kati ya ke na me........mdada we kubali kwenye huo mchezo umenyolewa ww na utaumia na hakuna rangi utaacha ona.....utawachukia wanaume wote mpaka saikolojia YAKo ikue sawa........nimemaliza
sawa ndo uje unitukane dm 🙄
 
Tangu Yule mwanamke aniumize. Aisee. Nikaomba Mola aniondolee roho ya huruma kwa mwanamke.

Ukweli ninajua kuwaumiza tena sio sana yaan hadi naambiwa hivi ni wewe uliyenitongoza au mwingine?

Aisee. Hicho kikombe ukikinywea lazima roho ya uangamizi
 
Tangu Yule mwanamke aniumize. Aisee. Nikaomba Mola aniondolee roho ya huruma kwa mwanamke.

Ukweli ninajua kuwaumiza tena sio sana yaan hadi naambiwa hivi ni wewe uliyenitongoza au mwingine?

Aisee. Hicho kikombe ukikinywea lazima roho ya uangamizi

imagine mtu anakwambia mi sio kama wale kumbe ye ndo CEO wa wale aaah meen[emoji1316][emoji1316]
 
Aliesema fear men hakukosea, aisee wanaume ni wadudu siwapendi nawachukiaa..

limtu linakukuta zako na furaha linakufanya unafall alafu linaleta mambo ya kijinga 🥲

anyway, ladies take time to fear men, hakikisha una fear men

na nyie wanaume huwa mnajiskiaje kumuumiza mtu kihisia ?
Wanaume ni vitimoto (nguruwe)😂😂😂😂😂😂
 
Mwingine kaahidi kulipa kodi,mwenye nyumba kachachamaa,msela haonekani,ahadi mwenye jengo haelewi,bibie kodi alishaserebukia akijua mjinga atalipia,sasa haelewi afanyeje. Hata ya kuhamisha vitu tu huenda noooooo. So?! So what!!!!
Aligundua kuna sehemu alizama kwenye kina kirefu,akaamua aachie masela
Hatari Mkuu, yaani ndiyo wanasemaga "Baniani mbaya Kiatu chake dawa"
 
Aliesema fear men hakukosea, aisee wanaume ni wadudu siwapendi nawachukiaa..

limtu linakukuta zako na furaha linakufanya unafall alafu linaleta mambo ya kijinga 🥲

anyway, ladies take time to fear men, hakikisha una fear men

na nyie wanaume huwa mnajiskiaje kumuumiza mtu kihisia ?
Ushaliwa na kuachwa, pole ukipata mboo mpya utasahau
 
Wanaume wenzangu kuanzia leo tuongeze umakini, tusikubali Rungu spray Max zinunuliwe na kuwekwa nyumbani. Mtoa mada hachelewi kutupulizia sisi wadudu tukakufa bure [emoji12][emoji12]

===========
Ladies kabla hamjakubali mahusiano vyema kujua lengo la hayo mahusiano yenyewe ili ku-lower expectations. Hii itasaidia kufurahia mapenzi yenu kuliko kukaa na mtu ukijua kuwa atakuoa soon, kumbe mwenzio aliomba mahusiano nawe kwa lengo la kuburudishana tu.
Tatizo wakiliwa mara moja wanataka ndoa
 
Back
Top Bottom