Mtu unaliaaaa mpaka unazimia kwa mwili kuishiwa maji, mwimbili shwaaaa drip 4 za maji. Hapo ndo tutajua kweli kilikulambaaa πKweli aiseeee wenzie brake ya kwanza inakuwaga mwimbili! π π π π
Pole sana bibiye kwa kupenda usipo pendeka.Aliesema fear men hakukosea, aisee wanaume ni wadudu siwapendi nawachukiaa..
limtu linakukuta zako na furaha linakufanya unafall alafu linaleta mambo ya kijinga π₯²
anyway, ladies take time to fear men, hakikisha una fear men
na nyie wanaume huwa mnajiskiaje kumuumiza mtu kihisia ?
ππππ Uzuri sisi ukikutana na shogaako unamwaga siri zote kifua kinakuww chepesi.Mtu unaliaaaa mpaka unazimia kwa mwili kuishiwa maji, mwimbili shwaaaa drip 4 za maji. Hapo ndo tutajua kweli kilikulambaaa π
Yes! Kuongea kunapunguza machungu.. kukifatiwa na kublock muhusika huku ukibaki unashukuru hajakuacha na kijusi.ππππ Uzuri sisi ukikutana na shogaako unamwaga siri zote kifua kinakuww chepesi.
Punguza tamaaAliesema fear men hakukosea, aisee wanaume ni wadudu siwapendi nawachukiaa..
limtu linakukuta zako na furaha linakufanya unafall alafu linaleta mambo ya kijinga π₯²
anyway, ladies take time to fear men, hakikisha una fear men
na nyie wanaume huwa mnajiskiaje kumuumiza mtu kihisia ?
Huyu wa sasa kuachana ni mwiko, hiyo nafasi hutoipata π€£π€£π€£Usife kwanza bado zamu yangu kupendwa na wewe nijue kama unapenda kweli au maigizo tu [emoji16][emoji16][emoji16]
Na bado hamjasema,mpk msemeAliesema fear men hakukosea, aisee wanaume ni wadudu siwapendi nawachukiaa..
limtu linakukuta zako na furaha linakufanya unafall alafu linaleta mambo ya kijinga π₯²
anyway, ladies take time to fear men, hakikisha una fear men
na nyie wanaume huwa mnajiskiaje kumuumiza mtu kihisia ?
kumbe hii ni vitaπ€£Sweetheart,
Hakikisha unakuwa na moyo wa kigaidi kwanza kabla uwape moyo these Pharaoh's Sons..!!ππ
Mac Alpho usipite hapa..!!
dahSasa huku fear men upande mwengine fear women lakini hawa viumbe wanagegedana sasa nashindwa kuelewa kweli hawa wanaogopna au kelele tuu.
Pole lakini. Bora utulie tuu na kina mzabzab mnapeana utamu no expectations. Njoo nikupe maraha ya kibamia
HahahahHebu tuanze na baba yako ni aina gani ya mdudu? Mende au funza?
ngojeeni tuNa bado hamjasema,mpk mseme
Mtanyooka tu
ππ
atakufa vibaya saaa mbwa yulePole sana bibiye kwa kupenda usipo pendeka.
wote tuuuSema mwanaume wako, hiyo laana usiwabebeshe wengine