Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili mtu wanguUmewaza mbali kinyama 🤣
Sijui hatakwani nataka mwanaume sasa
Kuanzia october hadi december maboya wengi hupigwa za usoUzi umekaa kimkakati
December to remember 😂😂Uzi umekaa kimkakati
😂😂😂Mwakani watakuwa mazombieKutoka mbwa hadi wadudu 😂😂😂
Mama yako angekuwa na unyama kama wako leoAliesema fear men hakukosea, aisee wanaume ni wadudu siwapendi nawachukiaa..
limtu linakukuta zako na furaha linakufanya unafall alafu linaleta mambo ya kijinga 🥲
anyway, ladies take time to fear men, hakikisha una fear men
na nyie wanaume huwa mnajiskiaje kumuumiza mtu kihisia ?
Mama yako angefanya hivoKikao cha mwisho tulikubaliana kwamba do not trust anything with a d1ck
Nafikiri hukuhudhuria hicho kikao that manzi
Nwei...pole
Aliesema fear men hakukosea, aisee wanaume ni wadudu siwapendi nawachukiaa..
limtu linakukuta zako na furaha linakufanya unafall alafu linaleta mambo ya kijinga 🥲
anyway, ladies take time to fear men, hakikisha una fear men
na nyie wanaume huwa mnajiskiaje kumuumiza mtu kihisia ?
Achana nao wewe toa yote mamaMbona hamkusema mapema sasa? Maana mimi nimeshampa moyo mtoto wa mtu mwenye hicho kiungo [emoji1787][emoji1787][emoji85]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]...wapo wapi hao ....DJ....walete walete....Usikute hapo mwanzo ulikuwa na nyodo za kishenzi sana kwa mwana, mwisho wa siku mchizi kamwagia ndani akaingia kizani.
Na wewe kenge unajisikiaje kumuumiza mwanaume kihisia??.....mapenzi Ni mchezo Kuna kunyoa na kunyolewa Kati ya ke na me........mdada we kubali kwenye huo mchezo umenyolewa ww na utaumia na hakuna rangi utaacha ona.....utawachukia wanaume wote mpaka saikolojia YAKo ikue sawa........nimemalizaAliesema fear men hakukosea, aisee wanaume ni wadudu siwapendi nawachukiaa..
limtu linakukuta zako na furaha linakufanya unafall alafu linaleta mambo ya kijinga 🥲
anyway, ladies take time to fear men, hakikisha una fear men
na nyie wanaume huwa mnajiskiaje kumuumiza mtu kihisia ?