Wanaume ni wadudu

Wanaume ni wadudu

Aliesema fear men hakukosea, aisee wanaume ni wadudu siwapendi nawachukiaa..

limtu linakukuta zako na furaha linakufanya unafall alafu linaleta mambo ya kijinga 🥲

anyway, ladies take time to fear men, hakikisha una fear men

na nyie wanaume huwa mnajiskiaje kumuumiza mtu kihisia ?
Mama yako angekuwa na unyama kama wako leo

Usingekuwepo

Unadharirisha bao la baba ako
 
Aliesema fear men hakukosea, aisee wanaume ni wadudu siwapendi nawachukiaa..

limtu linakukuta zako na furaha linakufanya unafall alafu linaleta mambo ya kijinga 🥲

anyway, ladies take time to fear men, hakikisha una fear men

na nyie wanaume huwa mnajiskiaje kumuumiza mtu kihisia ?

Tatizo linaanzia hapo "ku fall in wadudu".
 
Aliesema fear men hakukosea, aisee wanaume ni wadudu siwapendi nawachukiaa..

limtu linakukuta zako na furaha linakufanya unafall alafu linaleta mambo ya kijinga 🥲

anyway, ladies take time to fear men, hakikisha una fear men

na nyie wanaume huwa mnajiskiaje kumuumiza mtu kihisia ?
Na wewe kenge unajisikiaje kumuumiza mwanaume kihisia??.....mapenzi Ni mchezo Kuna kunyoa na kunyolewa Kati ya ke na me........mdada we kubali kwenye huo mchezo umenyolewa ww na utaumia na hakuna rangi utaacha ona.....utawachukia wanaume wote mpaka saikolojia YAKo ikue sawa........nimemaliza
 

usikute mdudu mwenyewe unamsemea ndo huyu
 
Back
Top Bottom